Tume ya Taifa ya Uchaguzi yajionea urushaji vipindi vya Bunge
By Newsroom on July 1, 2016
Mhandisi
wa mitambo wa Studio za Bunge Bi. Upendo Mbele akitoa maelezo kwa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa
kwanza kulia) na Ujumbe wake juu ya namna wanavyotekeleza majukumu ya
kurusha vipindi kwa kuzingatia sheria na Kanuni za Bunge wakati wa Ziara
iliyolenga kukabidhi ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Kamishna
wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Prof. Amon Chaligha akiwa ndani ya Maktaba
ya Bunge wakati wa Ziara ya Tume hiyo Bungeni Mjini Dodoma.
(Picha na Frank Mvungi-Dodoma)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni