Mkuu
wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema akiongozana na Edward Mpogolo
Katibu Tawala wa wilaya hiyo wakati walipoongoza zoezi la kusambaza
mapipa ya kuwekea takataka kwenye barabara ya Kivukoni jijini Dar es
salaam kwa ajili ya udhibiti wa utupaji wa taka hovyo.
Mkuu
wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema katikati akiongozana na Mkurugenzi
wa Manispaa ya Ilala Bw.Msongela Palela kushoto pamoja na Edward
Mpogolo Katibu Tawala wa wilaya hiyo weka mapipa ya kuhifadhia takataka
katika barabara ya Kivukoni jijini Dar es salaam.
Mkuu
wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema akiongozana akimuelekeza jambo
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala juu ya mpangilio wa uwekaji wa mapipa ya
kuhifadhia takataka kwenye barabara ya Kivukoni jijini Dar es salaam
jana.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni