Jumapili, 31 Julai 2016

MKUU WA WILAYA YA ILALA AUNGANA NA WATENDAJI WAKE KUSAMBAZA MAPIPA YA KUWEKEA TAKA BARABARA YA KIVUKONI DSM

tem01Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema akiongozana na Edward Mpogolo Katibu Tawala wa wilaya hiyo wakati walipoongoza zoezi la  kusambaza mapipa ya kuwekea takataka kwenye barabara ya Kivukoni jijini Dar es salaam  kwa ajili ya udhibiti wa utupaji wa taka hovyo.
tem1Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema katikati akiongozana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Bw.Msongela Palela  kushoto pamoja na  Edward Mpogolo Katibu Tawala wa wilaya hiyo weka mapipa ya kuhifadhia takataka katika barabara ya Kivukoni jijini Dar es salaam.
tem2Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema akiongozana akimuelekeza jambo Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala juu ya mpangilio wa uwekaji wa mapipa ya kuhifadhia takataka kwenye barabara ya Kivukoni jijini Dar es salaam jana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni