By Newsroom on July 31, 2016
Mwenyekiti
wa Chama Taifa wa CHADEMA Freeman Mbowe akiongozana na baadhi ya
Wajumbe wa Kamati Kuu, Edward Lowassa, John Mnyika, Mkiti wa Baraza la
Wazee Hashimu Issa Juma na Mwanasheria Mkuu wa Chama Tundu Lissu,
wakiwasili Kituo Kikuu cha Polisi (Central) Kanda Maalum ya Dar es
Salaam, ambapo Mwenyekiti Mbowe ameitikia wito wa jeshi hilo kupitia wa
ZCO Wambura wa kumhitaji afike hapo leo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni