By Newsroom on July 31, 2016  
       
       
       
         
       
       
        
 Mwenyekiti
 wa Chama Taifa wa CHADEMA Freeman Mbowe akiongozana na baadhi ya 
Wajumbe wa Kamati Kuu, Edward Lowassa, John  Mnyika, Mkiti wa Baraza la 
Wazee Hashimu Issa Juma na  Mwanasheria Mkuu wa Chama Tundu Lissu, 
wakiwasili  Kituo Kikuu cha Polisi (Central) Kanda Maalum ya Dar es 
Salaam, ambapo Mwenyekiti Mbowe ameitikia wito wa jeshi hilo kupitia wa 
ZCO Wambura wa kumhitaji afike hapo leo.
Mwenyekiti
 wa Chama Taifa wa CHADEMA Freeman Mbowe akiongozana na baadhi ya 
Wajumbe wa Kamati Kuu, Edward Lowassa, John  Mnyika, Mkiti wa Baraza la 
Wazee Hashimu Issa Juma na  Mwanasheria Mkuu wa Chama Tundu Lissu, 
wakiwasili  Kituo Kikuu cha Polisi (Central) Kanda Maalum ya Dar es 
Salaam, ambapo Mwenyekiti Mbowe ameitikia wito wa jeshi hilo kupitia wa 
ZCO Wambura wa kumhitaji afike hapo leo. 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni