Jumapili, 31 Julai 2016

DK MNDOLWA AIBUKA KIDEDEA GOLF LUGALO

G1Dk Edmund Mndolwa mshindi wa Jumla kwa mwezi July baada ya kuibuka na Ushindi wa Mikwaju ya Jumla (Gross) 87 katika mashindano yaliyofanyika jana katika Viwanja vya Golf Lugalo Jijini Dar es salaam.
G2   Dk Edmund Mndolwa mshindi wa Jumla kwa mwezi July baada ya kuibuka na Ushindi wa Mikwaju ya Jumla (Gross) 87 akipiga mkwaju wa mwisho katika mashindano yaliyofanyika jana katika Viwanja vya Golf Lugalo Jijini Dar es salaam.G5Mshindi wa kwanza kwa Wanawake Victoria Elias Akijiweka sawa huku Mwezie Chiku Elias akimshuhudia wakati wakimenyana katika mashindano ya Kila mwisho wa mwezi katika Klabu ya Lugalo ya Nmb Monthly Mug.
G6Mshindi wa kwanza kwa Wanawake Victoria Elias Akijiweka sawa kupiga mpira wa Mwisho wakati wakimenyana katika mashindano ya Kila mwisho wa mwezi katika Klabu ya Lugalo ya Nmb Monthly Mug.
G3Afisa wa Habari kutoka JWTZ  Luteni Selemani Semunyu akitoa Zawadi kwa Mshindi wa Kwanza kwa Watoto (Junior) Zuwena Hamisi  mara baada ya Kumalizika mashindano ya mwezi July (Monthly Mug )yaliyofanyika jana katika Viwanja vya Golf Lugalo Jijini Dar es salaam.
G4Wachezaji Golf Chipukizi wakijiweka sawa wakati wa mashindano ya kila mwisho wa Mwezi ambapoi kwa mwezi July yalifanyika jana katika Viwanja vya Golf Lugalo Jijini Dar es salaam.
(Picha na Selemani Semunyu).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni