Dk
Edmund Mndolwa mshindi wa Jumla kwa mwezi July baada ya kuibuka na
Ushindi wa Mikwaju ya Jumla (Gross) 87 katika mashindano yaliyofanyika
jana katika Viwanja vya Golf Lugalo Jijini Dar es salaam.
Dk Edmund Mndolwa mshindi wa Jumla kwa mwezi July baada ya kuibuka na
Ushindi wa Mikwaju ya Jumla (Gross) 87 akipiga mkwaju wa mwisho katika
mashindano yaliyofanyika jana katika Viwanja vya Golf Lugalo Jijini Dar
es salaam.Mshindi
wa kwanza kwa Wanawake Victoria Elias Akijiweka sawa huku Mwezie Chiku
Elias akimshuhudia wakati wakimenyana katika mashindano ya Kila mwisho
wa mwezi katika Klabu ya Lugalo ya Nmb Monthly Mug.
Mshindi
wa kwanza kwa Wanawake Victoria Elias Akijiweka sawa kupiga mpira wa
Mwisho wakati wakimenyana katika mashindano ya Kila mwisho wa mwezi
katika Klabu ya Lugalo ya Nmb Monthly Mug.
Afisa
wa Habari kutoka JWTZ Luteni Selemani Semunyu akitoa Zawadi kwa
Mshindi wa Kwanza kwa Watoto (Junior) Zuwena Hamisi mara baada ya
Kumalizika mashindano ya mwezi July (Monthly Mug )yaliyofanyika jana
katika Viwanja vya Golf Lugalo Jijini Dar es salaam.
Wachezaji
Golf Chipukizi wakijiweka sawa wakati wa mashindano ya kila mwisho wa
Mwezi ambapoi kwa mwezi July yalifanyika jana katika Viwanja vya Golf
Lugalo Jijini Dar es salaam.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni