MSAMA AMPONGEZA WAZIRI NAPE KWA KUKAMATA KAZI FEKI ZA WASANII, ASEMA ANAUNGANA NAYE KATIKA VITA HIYO
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama 
Action Mart Bw Alex Msama akionyesha Stika za TRA zinazodaiwa kutolewa 
kimyemela na Baadhi ya watumishi wa TRA waso waaminifu kwa kushirikiana 
na watu wanaorudufu kazi za wasanii kinyemela ili kujipatia kipato Msama
 Amempngeza Waziri wa Habari , Uramaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape 
Nnauye kwa kazi aliyoifanya kutoka ofisini na kuenda kwenye maduka 
mbalimbali Kariakoo kwa ajili ya kusaka wezi wa kazi feki za wasanii 
Amesema Jambo hilo limemtia moyo 
kama mpigania haki wa kazi za wasanii ambaye amekuwa akipambana kila 
siku ili wasanii waweze kufaidika na jasho lao na ataendelea na kazi ya 
kuhakikisha wezi wote wa kazi za sanaa wanashughulikiwa kisheria na 
kuwafanya wasanii nao wanafaidi jasho lao.
Bwa Alex Msama akisisitiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Hii ni moja ya CD feki iliyobandikwa stika za TRA.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni