Jumapili, 31 Julai 2016

CHUKI ZIKO KATIKA SIASA SIO MPAKA URAIANI !!

na1 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa CCM Taifa Mh. Nape Nnauye na Mh. Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA wakijadiliana jambo wakati alipokutana katika shughuli ya kuaga mwanahabari Mpiga Picha Marehemu Joseph Senga aliyefaiki mwishoni mwa wiki hii Nchini India alikokuwa akitibiwa maradhi ya moyo  shughuli hizo za kuaga mwili wa Marehemu Joseph Senga zimefanyika Sinza na mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda wilayani Kwimba mkoani Mwanza kwa mazishi.
na2 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa CCM Taifa Mh. Nape Nnauye akizungumza na Mh. Edward Lowasa Waziri Mkuu wa Zamzni na kada wa CHADEMA katikati kushoto ni Kada mwingine wa CHADEMA Ndugu Khamis Mngeja.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni