CHUKI ZIKO KATIKA SIASA SIO MPAKA URAIANI !!
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa
CCM Taifa Mh. Nape Nnauye na Mh. Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa
Chama cha CHADEMA wakijadiliana jambo wakati alipokutana katika shughuli
ya kuaga mwanahabari Mpiga Picha Marehemu Joseph Senga aliyefaiki
mwishoni mwa wiki hii Nchini India alikokuwa akitibiwa maradhi ya moyo
shughuli hizo za kuaga mwili wa Marehemu Joseph Senga zimefanyika Sinza
na mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda wilayani Kwimba mkoani Mwanza
kwa mazishi.
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa
CCM Taifa Mh. Nape Nnauye akizungumza na Mh. Edward Lowasa Waziri Mkuu
wa Zamzni na kada wa CHADEMA katikati kushoto ni Kada mwingine wa
CHADEMA Ndugu Khamis Mngeja.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni