Jumatatu, 18 Julai 2016

KATIBU MKUU UCHUKUZI APOKEA VIKOMBE MASHINDANO YA MEIMOSI YALIYOFANYIKA MJIJI DODOMA

uch1Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kulia akopokea moja baadhi ya vikombe 11 ambavyo timu ya uchukuzi imeshinda katika mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mapema mwezi mei mkoani Dodoma, anayemkabidhi ni Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Alex Temba.(Picha na Benjamin Sawe- Maelezo)
uch2Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kulia akipokea cheti cha ushiriki wa  mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mpema mwezi  mei mkoani Dodoma, anayemkabidhi ni Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Alex Temba.(Picha na Benjamin Sawe- Maelezo)
uch3Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kulia akipokea zawadi ya jezi kutoka kwa Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Bw. Alex Temba mara baada ya kupokea vikombe 11 ambavyo timu ya uchukuzi imeshinda katika mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mpema mwezi mei mkoani Dodoma, kati ya hivyo vikombe 5 vilitolewa na Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli vikiwa ni ushindi wa kwanza katika netball Kamba,Baiskeli na Bao. (Picha na Benjamin Sawe- Maelezo)
uch4Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Alex Temba akimkaribisha Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kabla ya kumkabidhi baadhi ya vikombe 11 ambavyo timu ya uchukuzi imeshinda katika mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mapema mwezi mei mkoani Dodoma katikati ni Mkurugenzi waUtawala  na Rasilimali Watu wa Wizara hiyo. (Picha na Benjamin
uch5Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho aliyeshika Kikombe akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na wachezaji wa timu ya Uchukuzi Sports Club mara ya kupokea vikombe na vyeti vya ushindi wa timu hiyo katika mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mapema mwezi mei mkoani Dodoma. (Picha na Benjamin Sawe- Maelezo)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni