 Msemaji kutoka kituo cha Sibuka Televisheni wa kwanza kulia   Bw.
 George Nangale  akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati 
wa uzinduzi wa kipindi cha INABAMBA “Ni bongo movie bandika bandua” 
kitachokuwa kinaonyeshwa katika kituo hiko cha matangazo uliofanyika leo
 jijini Dar es salaam, kushoto ni Afisa habari wa kampuni ya Step 
Entertainment  Bw. Moses Mwanyilu.
Msemaji kutoka kituo cha Sibuka Televisheni wa kwanza kulia   Bw.
 George Nangale  akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati 
wa uzinduzi wa kipindi cha INABAMBA “Ni bongo movie bandika bandua” 
kitachokuwa kinaonyeshwa katika kituo hiko cha matangazo uliofanyika leo
 jijini Dar es salaam, kushoto ni Afisa habari wa kampuni ya Step 
Entertainment  Bw. Moses Mwanyilu. 
  Mkurugenzi wa matamasha  kutoka kampuni ya usambazaji filamu nchini Steps Entertainment katikati
 Bw. Jonas Sabuni akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati 
wa uzinduzi wa kipindi cha INABAMBA “Ni bongo movie bandika bandua” 
ambao uliofanyika leo jijini Dar es salaam,  kushoto ni Afisa habari wa 
kampuni hiyo Bw. Moses Mwanyilu na kulia ni mwigizaji wa bongo movie 
Jimmy Mafufu.
Mkurugenzi wa matamasha  kutoka kampuni ya usambazaji filamu nchini Steps Entertainment katikati
 Bw. Jonas Sabuni akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati 
wa uzinduzi wa kipindi cha INABAMBA “Ni bongo movie bandika bandua” 
ambao uliofanyika leo jijini Dar es salaam,  kushoto ni Afisa habari wa 
kampuni hiyo Bw. Moses Mwanyilu na kulia ni mwigizaji wa bongo movie 
Jimmy Mafufu. 
  Afisa
 habari wa kampuni ya Step Entertainment  Bw. Moses Mwanyilu wa kwanza 
kushoto akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa 
uzinduzi wa kipindi cha INABAMBA “Ni bongo movie bandika bandua” 
kitachokuwa kinaonyeshwa katika kituo cha matangazo Sibuka Televisheni 
uliofanyika leo jijini Dar es salaam,katikati ni , Msemaji kutoka kituo 
cha Sibuka Televisheni  Bw. George Nangale na wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Masoko kutoka Startimes Bw. Awino Felia.
Afisa
 habari wa kampuni ya Step Entertainment  Bw. Moses Mwanyilu wa kwanza 
kushoto akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa 
uzinduzi wa kipindi cha INABAMBA “Ni bongo movie bandika bandua” 
kitachokuwa kinaonyeshwa katika kituo cha matangazo Sibuka Televisheni 
uliofanyika leo jijini Dar es salaam,katikati ni , Msemaji kutoka kituo 
cha Sibuka Televisheni  Bw. George Nangale na wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Masoko kutoka Startimes Bw. Awino Felia. 
 Meneja
 Masoko kutoka Startimes Bw. Awino Felia  wa kwanza kushoto akiongea na 
waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa kipindi cha 
INABAMBA “Ni bongo movie bandika bandua” kitachokuwa kinaonyeshwa katika
 kituo cha matangazo Sibuka Televisheni kupitia king’amuzi cha 
Startimes  uliofanyika leo jijini Dar es salaam
Meneja
 Masoko kutoka Startimes Bw. Awino Felia  wa kwanza kushoto akiongea na 
waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa kipindi cha 
INABAMBA “Ni bongo movie bandika bandua” kitachokuwa kinaonyeshwa katika
 kituo cha matangazo Sibuka Televisheni kupitia king’amuzi cha 
Startimes  uliofanyika leo jijini Dar es salaam 
PICHA ZOTE NA ALLY DAUD-MAELEZO.
………………………………………………………….
Na Beatrice Lyimo MAELEZO Dar es Salaam
WASANII
 wa Filamu nchini wanatarajia kunufaika na kazi zao kufutia makubiliano 
ya Kampuni ya Star Media Tanzania Ltd (Startimes), pamoja na Steps 
Entertainment za kutumia kazi zao kwenye vituo vya televisheni nchini. 
Akizungumza
 waandishi wa habari leo, Mkurugenzi Mtendaji wa  Sibuka Media, Dkt. 
George Nangale  alisema kazi hiyo itafanywa kwa ushirikiano na taasisi 
hizo ili kuweza kuwasaidia wasanii kunufaika na kazi zao kupitia luninga
 badala ya kuwasubiri  wateja wao kuzinunua katika santuri (DvD).
“Tumefikia
 uamuzi huu baada ya kuona ombwe lililopo sasa katika kuzifikisha filamu
 zetu kwa walio wengi pamoja na kwamba Watanzania wana mwamko mkubwa wa 
kuzitazama filamu hizi zenye mafunzo ya maisha na burudani” alisisitiza 
Mkurugenzi huyo.
Kwa
 upande wake Msanii wa Bongo Movie, Mwanaheri Hamad alisema uonyeshaji 
wa kazi zao katika vituo vya televisheni utawanufaisha wasanii chipukizi
 ambao kazi zao bado hazijaonekana.
Amesema
 kuwa kutokana na mkataba huo wa kurusha filamu hzo umerahisisha soko za
 kazi hizo katika mfumo DvD ambapo ulikuwa unatumiwa hapo awali.
Filamu
 hizo zitaonyeshwa kupitia king’amuzi cha StarTimes chaneli 111 
ikijulikana kama Sibuka Maisha Steps chaneli kila siku na itaanza 
kuonyeshwa Ijumaa hii tarehe 29 Julai, 2016.
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni