MWENYEKITI WA CCM, DKT. JAKAYA KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU MJINI DODOMA
Mwenyekiti
 wa CCM na Rais Mstaafu, Dkt Jakaya Kikwete akifungua Mkutano wa Kamati 
Kuu ya CCM kwenye ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM mjini Dodoma
 Julai 21, 2016. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mtarajiwa, Rais John 
Magufuli, Wapili kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM , Zanzibar, Dkt. 
Ali Mohamed Shein, kuliani ni Makamu Mwenyekiti wa CCM , Bara, Philip 
Mangula na wapili kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. 
Katibu
 Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM na
 Rais Mstaafu, Dkt Jakaya Kikwete kwa ajili ya kufungua Mkutano wa 
Kamati Kuu ya CCM kwenye ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM mjini
 Dodoma Julai 21, 2016 pamoja na wajumbe wa mkutano huo. Kushoto ni 
Mwenyekiti wa CCM Mtarajiwa, Rais Dkt John Magufuli, Wapili kushoto ni 
Makamu Mwenyekiti wa CCM , Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, kuliani ni 
Makamu Mwenyekiti wa CCM , Bara, Philip Mangula na wapili kulia ni 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. Kamati kuu hiyo ilikuwa ni kwa 
ajili ya kupendekeza jina la Dkt John Pombe Magufuli kuwa Mwenyekiti na 
baadae kuliwasilisha jina hilo kwenye Halmashauri kuu ya Taifa kwa ajili
 ya kupeleka kwenye mkutano unaotarajiwa kufanyika Julai 23,2016.
Mjumbe
 wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na 
baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo kabla ya kuanza kwa kikao chao kwenye 
ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM mjini Dodoma
Mjumbe
 wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na 
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana kabla ya kuanza kwa kikao 
chao kwenye ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM mjini Dodoma Julai 21, 2016.
Katibu
 Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akimpokea Mwenyekiti Mtarajiwa wa 
CCM,Rais Dkt John Pombe Magufuli walipokuwa wakiwasili kwenye ukumbi wa 
Sekretarieti, katika jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini 
Dodoma, leo.Kamati kuu hiyo ilikuwa ni kwa ajili ya kupendekeza jina la 
Dkt Magufuli kuwa Mwenyekiti na baadae kuliwasilisha jina hilo kwenye 
Halmashauri kuu ya Taifa kwa ajili ya kupeleka kwenye mkutano.
Mwenyekiti
 Mtarajiwa Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia baadhi ya wanachama na 
wafuasi wa chama cha CCM nje ya ukumbi wa ukumbi wa Halmashauri Kuu ya 
Taifa ya CCM mjini Dodoma Julai 21, 2016. 
Continue reading →
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni