 Mwanariadha
 wa zamani aliyewahi kushika nafasi ya pili duniani katika mashindao ya 
    Olimpiki nchini Ugiriki  Bw. John Stephen Akhwari  (wa kwanza kulia)
 akimuonyesha Naibu Waziri wa Habari Utamaduni ,Sanaa na Michezo 
Mhe.Anastazia Wambura (katikati) Mwenge aliyoukimbiza katika viwanjani 
vya Beijing nchini China wakati wa kufungua mashindano ya Olimpiki mwaka
 2008 alipomtembelea nyumbani kwake katika Kijiji cha Khaday, Kata ya 
Sanu Mjini Mbulu,(wakwanza kulia) ni Mkuu wa Wilaya ya Mbulu 
Bw.Chelestino Mofuga.
Mwanariadha
 wa zamani aliyewahi kushika nafasi ya pili duniani katika mashindao ya 
    Olimpiki nchini Ugiriki  Bw. John Stephen Akhwari  (wa kwanza kulia)
 akimuonyesha Naibu Waziri wa Habari Utamaduni ,Sanaa na Michezo 
Mhe.Anastazia Wambura (katikati) Mwenge aliyoukimbiza katika viwanjani 
vya Beijing nchini China wakati wa kufungua mashindano ya Olimpiki mwaka
 2008 alipomtembelea nyumbani kwake katika Kijiji cha Khaday, Kata ya 
Sanu Mjini Mbulu,(wakwanza kulia) ni Mkuu wa Wilaya ya Mbulu 
Bw.Chelestino Mofuga. 
  Naibu
 Waziri wa Habari Utamaduni ,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura 
(katikati) akiwa ameshikilia kikombe cha ushindi wa Mwanariadha wa 
zamani John Stephen Akhwari alichoshinda shinda katika Mashindano yaya 
Olimpiki yaliyofanyika nchini Ugiriki kwa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya 
Mbulu Bw.Chelestino Mofuga (wa kwanza kushoto)  na  John Steven Akhwari 
mwenye (wa kwanza kulia) wakiwa nyumbani kwake katika Kijiji cha Khaday,
 Kata ya Sanu.
Naibu
 Waziri wa Habari Utamaduni ,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura 
(katikati) akiwa ameshikilia kikombe cha ushindi wa Mwanariadha wa 
zamani John Stephen Akhwari alichoshinda shinda katika Mashindano yaya 
Olimpiki yaliyofanyika nchini Ugiriki kwa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya 
Mbulu Bw.Chelestino Mofuga (wa kwanza kushoto)  na  John Steven Akhwari 
mwenye (wa kwanza kulia) wakiwa nyumbani kwake katika Kijiji cha Khaday,
 Kata ya Sanu. 
 Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura 
akisalimiana na Daktari wa Timu ya Jeshi la Wananchi Andrew Panga leo 
alipotembelea timu hiyo kambini Mjini Mbulu  akiwa katika ziara ya 
kikazi (wakwanza kulia) ni Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Bw.Chelestino Mofuga.
Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura 
akisalimiana na Daktari wa Timu ya Jeshi la Wananchi Andrew Panga leo 
alipotembelea timu hiyo kambini Mjini Mbulu  akiwa katika ziara ya 
kikazi (wakwanza kulia) ni Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Bw.Chelestino Mofuga. 
 Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia 
Wambura(wasita kulia) akiwa katika picha ya pamoja leo na Timu ya 
wanariadha wa Jeshi la Wananchi waliyoko kambini Wilayani Mbulu 
alipowatembelea akiwa katika ziara ya kikazi (wasita kushoto) ni 
mwanariadha wa zamani John Stephen Akhwari pamoja na Mkuu wa Wilaya ya 
Mbulu Bw.Chelestino Mofuga.
Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia 
Wambura(wasita kulia) akiwa katika picha ya pamoja leo na Timu ya 
wanariadha wa Jeshi la Wananchi waliyoko kambini Wilayani Mbulu 
alipowatembelea akiwa katika ziara ya kikazi (wasita kushoto) ni 
mwanariadha wa zamani John Stephen Akhwari pamoja na Mkuu wa Wilaya ya 
Mbulu Bw.Chelestino Mofuga. 
 Mwanariadha
 wa zamani aliyeweka rekodi ya Kimataifa ya kuonyesha Uzalendo kwa nchi 
 yake katika mashindano ya Olimpiki yaliyofanyika Mexico mwaka 1968  kwa
  kuendelea kukimbia na kushika namba mbili  mbali na kwamba alikuwa 
amevunjika mguu  wakati  akiwa uwanjani Bw.John Stephen Akhwari  akileza
 changamoto za sekta ya riadha nchini katika Mkutano wa wadau wa kisekta
 na Naibu Waziri Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura
 (hayupo pichani) ulifofanyika leo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara.
Mwanariadha
 wa zamani aliyeweka rekodi ya Kimataifa ya kuonyesha Uzalendo kwa nchi 
 yake katika mashindano ya Olimpiki yaliyofanyika Mexico mwaka 1968  kwa
  kuendelea kukimbia na kushika namba mbili  mbali na kwamba alikuwa 
amevunjika mguu  wakati  akiwa uwanjani Bw.John Stephen Akhwari  akileza
 changamoto za sekta ya riadha nchini katika Mkutano wa wadau wa kisekta
 na Naibu Waziri Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura
 (hayupo pichani) ulifofanyika leo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara. 
 Mwanariadha
 wa zamani aliyeiletea Tanzania sifa kwa kushinda mashindano mbalimbali 
ya Kimataifa na kupata Medali za aina mbalimbali Bw.Alfredo Shahanga 
 akieleza changamoto zilizojitokeza wakati wadau wa kutoka nchini 
Australia walipokuja Tanzania na kutaka kujenga uwanja wa michezo 
Wilayani Mbulu kumuenzi mwanariadha mzalendo John Stephen Akhwari kwa 
Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura 
(hayupo pichani) leo katika mkutano wa wadau wa kisekta Mkoani Manyara.
Mwanariadha
 wa zamani aliyeiletea Tanzania sifa kwa kushinda mashindano mbalimbali 
ya Kimataifa na kupata Medali za aina mbalimbali Bw.Alfredo Shahanga 
 akieleza changamoto zilizojitokeza wakati wadau wa kutoka nchini 
Australia walipokuja Tanzania na kutaka kujenga uwanja wa michezo 
Wilayani Mbulu kumuenzi mwanariadha mzalendo John Stephen Akhwari kwa 
Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura 
(hayupo pichani) leo katika mkutano wa wadau wa kisekta Mkoani Manyara. 
Na Anitha Jonas- MAELEZO,BABATI
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni