Yaliyojiri usiku wa TBL Group MOTISHA Awards
Kampuni ya TBL Group 
imewatunukiwa tuzo wafanyakazi wake tuzo ya MOTISHA kwa kutambua mchango
 mkubwa walioutoa kuleta mafanikio kwa kampuni katika kipindi cha mwaka 
uliopita.
Hafla ya kukabidhi 
tuzo zinazojulikana kama “Tuzo za Motisha za TBL Group” ilifanyika 
katika ukumbi wa Mlimani City   na ilihudhuriwa na wafanyakazi  zaidi ya
 300 kutoka viwanda vyote vilivyopo chini ya kampuni hiyo kutoka mikoa 
ya Dar es Salaam,Kilimanjaro,Mbeya na Mwanza na kiwanda cha Mwanza 
kilitunukiwa tuzo ya ushindi wa jumla .
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni