Jumatatu, 18 Julai 2016

MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MAJI

ncc1Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Mkutano Mkuu wa 10 wa  African Ministers Council on Water   (AMCOW) knew Kituo cha Mimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Julai 18, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
ncc2Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Rais Mstaafu wa Kenya, Mwai Kibaki kuingia kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere  jijini Dar es salaam kufungua    Mkutano Mkuu wa 10 wa  African Ministers Council on Water   (AMCOW)  Julai 18, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
ncc3Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Rais Mstaafu wa Kenya, Mwai Kibaki kuingia kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere  jijini Dar es salaam kufungua    Mkutano Mkuu wa 10 wa  African Ministers Council on Water   (AMCOW)  Julai 18, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
ncc4Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais Mstaafu wa Kenya Mwai   Kibaki kabla ya kufungua  Mkutano Mkuu wa 10 wa  African Ministers Council on Water   (AMCOW) kwenye  Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Julai 18, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
ncc5Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana  na Rais Mstaafu wa Kenya Mwai   Kibaki  katika   Mkutano Mkuu wa 10 wa  African Ministers Council on Water   (AMCOW) kwenye  Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Julai 18, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni