 Balozi
 Ombeni Sefue akizungumza na Menejimenti ya Wakala wa Taifa wa Utafiti 
wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi na Vifaa vya Ujenzi  (NHBRA) wakati 
alipofanya ziara katika taasisi hiyo mwishoni mwa wiki ili kujionea 
shughuli  mbali mbali zinazofanywa na taasisi hiyo ,  Kwa kiwango 
kikubwa (NHBRA)  imeonyesha ni taasisi inayoweza kujenga nyumba za bei 
nafuu sana hasa vijijini ili watanzania wa maeneo hayo waweze kupata 
makazi bora ya kuishi kwa bei  rahisi zaidi, Kulia katika picha ni 
Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo Bw.Matiko Samson Mturi.
Balozi
 Ombeni Sefue akizungumza na Menejimenti ya Wakala wa Taifa wa Utafiti 
wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi na Vifaa vya Ujenzi  (NHBRA) wakati 
alipofanya ziara katika taasisi hiyo mwishoni mwa wiki ili kujionea 
shughuli  mbali mbali zinazofanywa na taasisi hiyo ,  Kwa kiwango 
kikubwa (NHBRA)  imeonyesha ni taasisi inayoweza kujenga nyumba za bei 
nafuu sana hasa vijijini ili watanzania wa maeneo hayo waweze kupata 
makazi bora ya kuishi kwa bei  rahisi zaidi, Kulia katika picha ni 
Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo Bw.Matiko Samson Mturi.  
Taasisi hiyo pia imekuwa 
ikijihusisha na  mafunzo teknolojia ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu 
kwa  vikundi mbalimbali nchini ikiwa ni pamoja na kuwafundisha juu ya 
utengenezaji wa matofali, vigae vya kuezekea nyumba pamoja na ujenzi wa 
nyumba za zenyewe ambapo  taasisi na wananchi mbalimbali wanaweza 
kufaidika na mpango huo nchini.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES 
SALAAM) Mkurugenzi
 Mtendaji wa taasisi hiyo Bw.Matiko Samson Mturi akizungmza wakati 
alipokuwa akimkaribisha Balozi Ombeni Sefue wakati alipotembelea katika 
taasisi ya Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba na Vifaa vya Ujenzi  
NHBRA Mwenge jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi
 Mtendaji wa taasisi hiyo Bw.Matiko Samson Mturi akizungmza wakati 
alipokuwa akimkaribisha Balozi Ombeni Sefue wakati alipotembelea katika 
taasisi ya Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba na Vifaa vya Ujenzi  
NHBRA Mwenge jijini Dar es salaam. 
  Bw.
 Sylivester Shumbusho Fundi kutoka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba 
na Vifaa vya Ujenzi  NHBRA akimpa maelezo Balozi Ombeni Sefue juu ya 
utengenezaji wa matofali ya bei rahisi kwa kutumia udongo wakati 
alipokuwa akitembelea karakana ya taasisi hiyo iliyopo Mwenge jijini Dar
 es salaamKatikati ni Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Bw. Matiko Samson 
Mturi.
Bw.
 Sylivester Shumbusho Fundi kutoka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba 
na Vifaa vya Ujenzi  NHBRA akimpa maelezo Balozi Ombeni Sefue juu ya 
utengenezaji wa matofali ya bei rahisi kwa kutumia udongo wakati 
alipokuwa akitembelea karakana ya taasisi hiyo iliyopo Mwenge jijini Dar
 es salaamKatikati ni Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Bw. Matiko Samson 
Mturi. 
  Mkurugenzi
 wa Taasisi hiyo Bw. Matiko Samson Mturi akimpa maelezo Balozi Ombeni 
Sefue wakati alipokuwa akitembelea na kukagua shughuli mbalimbali katika
 taasisi hiyo kulia ni Bw. Sylvester Shumbusho Fundi katika taasisi 
hiyo.
Mkurugenzi
 wa Taasisi hiyo Bw. Matiko Samson Mturi akimpa maelezo Balozi Ombeni 
Sefue wakati alipokuwa akitembelea na kukagua shughuli mbalimbali katika
 taasisi hiyo kulia ni Bw. Sylvester Shumbusho Fundi katika taasisi 
hiyo. 
Baadhi ya wafanyakazi wakiendelea na shughuli za kutengeneza vigae vya kuezekea nyumba katika karakana ya taasisi hiyo.
Balozi Ombeni Sefue akitembezwa 
na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Bw. Matiku Samson Mturi maeneo mbalimbali 
 ili kujionea shughuli za  zinazofanywa na taasisi hiyo.
  Balozi
 Ombeni Sefua akishiriki katika shughuli ya kufyatua matofali kazi 
inayofanywa pia na Taasisi hiyo kwa kutoa mafunzo kwa vikundi mbalimbali
 vya ujasiriamali nchini kote.
Balozi
 Ombeni Sefua akishiriki katika shughuli ya kufyatua matofali kazi 
inayofanywa pia na Taasisi hiyo kwa kutoa mafunzo kwa vikundi mbalimbali
 vya ujasiriamali nchini kote. 
  Balozi
 Ombeni Sefua akiangalia kazi  ya kufyatua matofali  inayofanywa pia na 
Taasisi hiyo kwa kutoa mafunzo kwa vikundi mbalimbali vya ujasiriamali 
nchini kote.
Balozi
 Ombeni Sefua akiangalia kazi  ya kufyatua matofali  inayofanywa pia na 
Taasisi hiyo kwa kutoa mafunzo kwa vikundi mbalimbali vya ujasiriamali 
nchini kote. 
Balozi Ombeni Sefue akiangalia wafanyakazi wa taasisi hiyo wakati wakitengeneza vigae kwa ajili ya kuezekea nyumba.
Balozi Ombeni Sefue akipiga picha
 kwa simu yake huku wafanyakazi wa taasisi hiyo wakimuangalia baada ya 
moja ya nyumba ndogo iliyojengwa katika ghala ya taasisi hiyo kwa ajili 
ya mfano kumfurahisha.
  Balozi
 Ombeni Sefue pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Bw. Matiko Samson 
Mturi wakipiga picha ya pamoja na wafanyakazi wa taasisi hiyo mara baada
 ya kukamilika kwa ziara hiyo.
Balozi
 Ombeni Sefue pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Bw. Matiko Samson 
Mturi wakipiga picha ya pamoja na wafanyakazi wa taasisi hiyo mara baada
 ya kukamilika kwa ziara hiyo. 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni