MKWASA AAHIRISHA KAMBI TAIFA STARS
Wachezaji ambao Mkwasa amewaita
wanatoka kwenye klabu mbalimbali na ambazo zinaongoza kutoa nyota wengi
ni Simba SC, Young Africans SC, Azam FC na Mtibwa Sugar FC.
Hivyo basi, Mkwasa sasa atakuwa
anafuatilia mwenendo wa nyota 24 aliowaita kwenye michezo mbalimbali ya
kirafiki wa klabu hizo inayofanyika kabla ya kuanza Ligi Kuu Tanzania
Bara (Pre-season matches) na michezo ya raundi ya kwanza na pili ya Ligi
Kuu kabla ya kukiita tena kikosi hicho kwa ajili ya safari ya kwenda
Nigeria.
Taifa Stars ina mchezo na jijini
Lagos, Nigeria Septemba 2, 2016 ambao ni wa kukamilisha ratiba katika
kundi G baada ya Misri kusonga mbele wakati Chad kujitoa. Wachezaji
ambao Mkwasa aliwaita mapema wiki hii ni:
Makipa:
Deogratius Munishi
Aishi Manula
Benny Kakolanya
Mebeki:
Kelvin Yondani
Aggrey Morris
Oscar Joshua
Mohamed Husein ‘Tshabalala’
Juma Abdul
Erasto Nyoni
Viungo:
Himid Mao
Mohamed Ibrahim
Shiza Kichuya
Jonas Mkude
Ibrahim Jeba
Mwinyi Kazimoto
Farid Mussa
Juma Mahadhi
Hassan Kabunda
Washambuliaji:
Simon Msuva
Joseph Mahundi
Jamal Mnyate
Ibrahim Ajib
John Bocco
Jeremia Juma
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni