KWA HERI MPIGANAJI JOSEPH SENGA, MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI
Wapiga
 picha wakibeba jeneza la marehemu Joseph Senga aliyekuwa mpiga picha wa
 gazeti la Tanzania Daima ili  kuliweka kwenye tayari kwa safari ya 
kwenda Wilayani Kwimba  Mkoani Mwanza kwa mazishi wanaoongoza mbele 
katikati ni Rafiki yake Mkubwa Deus Mhagale Mpiga picha wa Gazeti la 
Mtanzania aliyeshika Msalaba , kulia aliyeshika Shada la maua ni John 
Bukuku mpigapicha na  Mkurugenzi wa Blog ya Fullshangwe  na  kushoto 
aliyeshika picha ya marehemu  ni Joachim Mushi mpiga picha na Mkurugenzi
 wa Mtandao wa The Habari akiwa pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mablogger
 Tanzania TBN wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Sinza jijini
 Dar es salaam.
Deus
 Mhagale Mpiga picha wa Gazeti la Mtanzania akiaga mwili wa marehemu 
Joseph Senga na kushoto ni Mpiga Picha mkongwe Juma Dihule.
Carthubert Kajuna Mpiga Picha na Mkurugenzi wa Blogu ya Habari na Matukio akiaga mwili wa marehemu Joseph Senga.
Mpiga Picha wa Gazeti la Habari leo Robert Okanda akiaga mwili wa marememu.
Mpiga picha Muhidin Sufiani akitoa hesgima zake za mwisho kwa marehemu Joseph Senga.
Baadhi ya wapiga picha wakijadiliana mambo kadhaa.
Mpiga Picha wa Jambo Leo Dotto Mwaibale akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Joseph Senga.
Waziri Mkuu wa zamani Edward 
Lowasa akiongozana na Nape Nnauye Waziri wa habari, Utamaduni, Sanaa na 
Michezo kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Joseph Senga.
Waziri Mkuu wa Zamani Edward 
Lowasa akijadiliana jambo na Nape Nnauye Waziri wa Habari , Utamaduni , 
Sanaa na Michezo wakati walipoongoza waombolezaji katika kuaga mwili  wa
 mwanahabari Marehemu Joseph Senga
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni