Jumapili, 31 Julai 2016

TBL Group family day 2016 yafana vilivyo

tbo1Mkurugenzi Rasiriamali watu wa TBL Group David Magesa (kushoto) akimkabidhi Mercy Maliwa  zawadi kwa kuibuka mshindi wa shindano la mpango wa AfyaKwanza , wakati wa wa  Siku ya wafanyakazi wa kampuni hiyo (Family Day) iliyofanyika kwenye viunga vya  hoteli ya Fun City Kigamboni jijini Dar es Salaam
tbo2Baadhi ya wafanyakazi wa TBL Group wakisafishwa   kucha za miguu pamoja na kupakwa rangi kwenye burudani za siku ya familia
tbo3Wototo wa wafanyakazi walicheza michezo mbalimbali
tbo4Watoto wakiweza kujibu maswali ya ufahamu na kujishindia zawadi
tbo5Zoezi la Afya Kwanza lilitekelezwa kwa vitendo
tbo6Baadhi ya wafanyakazi na família zao wakipata misosi
tbo7Baadhi ya wafanyakazi na família zao wakipata misosi
tbo8Wana msondo wakimwaga burudani kwa wafanyakazi wa TBL Group
tbo9Msanii maarufu wa vichekesho  Joti alikuwepo kumwaga burudani
tbo10Burudani tele za muziki zilikuwepo
tbo11 tbo12

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni