Mkurugenzi
Rasiriamali watu wa TBL Group David Magesa (kushoto) akimkabidhi Mercy
Maliwa zawadi kwa kuibuka mshindi wa shindano la mpango wa AfyaKwanza ,
wakati wa wa Siku ya wafanyakazi wa kampuni hiyo (Family Day)
iliyofanyika kwenye viunga vya hoteli ya Fun City Kigamboni jijini Dar
es Salaam
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL Group wakisafishwa kucha za miguu pamoja na kupakwa rangi kwenye burudani za siku ya familia
Wototo wa wafanyakazi walicheza michezo mbalimbali
Watoto wakiweza kujibu maswali ya ufahamu na kujishindia zawadi
Zoezi la Afya Kwanza lilitekelezwa kwa vitendo
Baadhi ya wafanyakazi na família zao wakipata misosi
Baadhi ya wafanyakazi na família zao wakipata misosi
Wana msondo wakimwaga burudani kwa wafanyakazi wa TBL Group
Msanii maarufu wa vichekesho Joti alikuwepo kumwaga burudani
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni