 Katibu
 Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime akisaini kitabu 
cha wageni alipowasili ofisini kwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, 
Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura kuwasilisha taarifa ya 
mapendekezo ya kuboresha tasnia ya Muziki hapa nchini leo Julai 21 
Jijini Dar es Salaam.
Katibu
 Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime akisaini kitabu 
cha wageni alipowasili ofisini kwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, 
Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura kuwasilisha taarifa ya 
mapendekezo ya kuboresha tasnia ya Muziki hapa nchini leo Julai 21 
Jijini Dar es Salaam. 
  Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura 
akizungumza na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John 
Kitime  mara baada ya  kupokea taarifa ya mapendekezo ya kuboresha 
tasnia ya Muziki hapa nchini leo Julai 21 Jijini Dar es Salaam.
Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura 
akizungumza na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John 
Kitime  mara baada ya  kupokea taarifa ya mapendekezo ya kuboresha 
tasnia ya Muziki hapa nchini leo Julai 21 Jijini Dar es Salaam. 
 Afisa
 Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. 
Habibu Msammy  akichangia mada wakati wa majadaliano kati ya  na Naibu 
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura na 
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime  kuhusu 
maboresho ya tasnia ya Muziki hapa nchini leo Julai 21 Jijini Dar es 
Salaam.
Afisa
 Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. 
Habibu Msammy  akichangia mada wakati wa majadaliano kati ya  na Naibu 
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura na 
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime  kuhusu 
maboresho ya tasnia ya Muziki hapa nchini leo Julai 21 Jijini Dar es 
Salaam. 
 Katibu
 Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime akizungumza na 
Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia 
Wambura ofisini kwa Naibu Waziri  wakati aki wasilisha taarifa ya 
mapendekezo ya kuboresha tasnia ya Muziki hapa nchini leo Julai 21 
Jijini Dar es Salaam.
 Katibu
 Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime akizungumza na 
Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia 
Wambura ofisini kwa Naibu Waziri  wakati aki wasilisha taarifa ya 
mapendekezo ya kuboresha tasnia ya Muziki hapa nchini leo Julai 21 
Jijini Dar es Salaam. 
  Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura 
akipokea  moja ya kazi ya muziki  wa dansi alizowahi kufanya Mzee Kitime
 baba wa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime leo
 Julai 21 Jijini Dar es Salaam.
Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura 
akipokea  moja ya kazi ya muziki  wa dansi alizowahi kufanya Mzee Kitime
 baba wa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime leo
 Julai 21 Jijini Dar es Salaam. 
 Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura 
(wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na  Katibu Mkuu wa 
Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime(kulia),  wa pili kushoto ni
 Afisa Utamaduni  kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo 
Bw. Habibu Msammy  na kushoto katibu wa Naibu Waziri Bi. Anna Nkinda 
 leo Julai 21 Jijini Dar es Salaam.
Naibu
 Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura 
(wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na  Katibu Mkuu wa 
Shirikisho la Muziki Tanzania Bw.John Kitime(kulia),  wa pili kushoto ni
 Afisa Utamaduni  kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo 
Bw. Habibu Msammy  na kushoto katibu wa Naibu Waziri Bi. Anna Nkinda 
 leo Julai 21 Jijini Dar es Salaam. 
( Picha zote na Shamimu Nyaki WHUSM)
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni