 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akifuatilia kwa makini ufunguzi wa mkutano wa 27 kwa Wakuu wa Nchi na 
Serikali wa Nchi  Wanachama
 wa Umoja wa Afrika AU ulioanza jana katika Ukumbu wa KCC mjini Kigali 
Rwanda. Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano 
huo. (Picha na OMR)
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akifuatilia kwa makini ufunguzi wa mkutano wa 27 kwa Wakuu wa Nchi na 
Serikali wa Nchi  Wanachama
 wa Umoja wa Afrika AU ulioanza jana katika Ukumbu wa KCC mjini Kigali 
Rwanda. Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano 
huo. (Picha na OMR) 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni