MKWASA AITA NYOTA 24 STARS
Kwa
 mujibu wa Mkwasa, timu hiyo itaingia kambini Agosti 1, 2016 na itadumu 
kwa siku tano tu kabla ya kuvunjwa na kuitwa tena mwishoni mwa mwezi 
Agosti, 2016 kujiandaa na kambi ya mwisho na moja kwa moja itakuwa ni 
kwa ajili ya safari kwenda Nigeria.
Katika
 kikosi hicho, Mkwasa hajaita nyota wa kimataifa akiwamo Nahodha, Mbwana
 Samatta wa FC Genk ya Ubelgiji na Thomas Ulimwengu wa TP Mazembe ya 
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa sababu ya majukumu waliyonayo
 kwenye klabu zao kwa sasa.
Kadhalika,
 nyota hao wataungana na wenzao nchini Nigeria kwa kuwa mchezo huo upo 
kwenye kalenda ya CAF na ni wa mashindano. Mchezo huO ambao ni wa 
kukamilisha ratiba, Mkwasa amesema utakuwa mgumu kwani Nigeria 
wamebadili benchi la ufundi hivyo kila timu inaungalia mchezo huu kwa 
jicho la pekee.
Wachezaji walioitwa ni:
Makipa:
Deogratius Munishi
Aishi Manula
Benny Kakolanya
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni