Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia wa
wakazi wa Kahama mara baada ya kuwasili akitokea Nzega mkoa Tabora.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akicheza jukwaani wimbo
wa kwaya ya Haleluya Kuu kutoka Kanisa la KKKT-Usharika wa Yeru Ndala
Shinyanga kabla ya Kuhutubia mamia ya wakazi Kahama mkoani Shinyanga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mbunge wa
zamani wa Kahama James Lembeli mara baada ya kuwasalimia wananchi
waliofika kwa ajili ya kumsikiliza Rais katika viwanja hivyo vya Kahama.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia wa wakazi wa Isaka mkoani Shinyanga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameambatana na
Mbunge wa zamani wa Kahama James Lembeli ambaye ni mwanachama wa Chadema
mara baada ya kumaliza kuhutubia mkutano mjini Kahama mkoani Shinyanga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akicheza pamoja na
Wanakwaya wa Haleluya Kuu kutoka Kanisa la KKKT-Usharika wa Yeru Ndala
Shinyanga mara baada ya kumaliza kuhutubia mkutano Kahama mjini mkoani
Shinyanga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia mara baada
ya kuoneshwa picha na kijana mmoja aliyeishika picha hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia ya wakazi wa Tinde mkoani Sinyanga.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni