 Mratibu wa Mradi wa Usalama Barabarani kutoka Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Marry Kessy.
Mratibu wa Mradi wa Usalama Barabarani kutoka Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Marry Kessy.  
  Mratibu
 wa Mradi wa Usalama Barabarani kutoka Shirika la Afya la Umoja wa 
Mataifa (WHO) , Marry Kessy akitoa elimu kwa waandishi wa habari kuhusu 
usalama barabarani jijini Dar es Salaam, ambapo waandishi wa habari 
walipata  kujifunza mambo yanayohusu usalama wa barabarani ikiwepo 
kupewa ripoti ya ajali ambazo hutokea duniani na Tanzania, umuhimu wa 
uvaaji kinga (helment), umuhimu wa uvaaji mkanda kwenye gari, madhara ya
 ulevi uendeshapo chombo cha moto na vizuizi kwa watoto.
Mratibu
 wa Mradi wa Usalama Barabarani kutoka Shirika la Afya la Umoja wa 
Mataifa (WHO) , Marry Kessy akitoa elimu kwa waandishi wa habari kuhusu 
usalama barabarani jijini Dar es Salaam, ambapo waandishi wa habari 
walipata  kujifunza mambo yanayohusu usalama wa barabarani ikiwepo 
kupewa ripoti ya ajali ambazo hutokea duniani na Tanzania, umuhimu wa 
uvaaji kinga (helment), umuhimu wa uvaaji mkanda kwenye gari, madhara ya
 ulevi uendeshapo chombo cha moto na vizuizi kwa watoto.
 
 Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani wa Jeshi la Polisi, ASP 
Masoko akitoa mada kuhusiana na sheria ya usalama barabarani ya Tanzania
 inavyofanya kazi, wakati wa mafunzo ya siku moja kwa waandishi wa 
habari kutoka vyombo mbalimbali jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani wa Jeshi la Polisi, ASP 
Masoko akitoa mada kuhusiana na sheria ya usalama barabarani ya Tanzania
 inavyofanya kazi, wakati wa mafunzo ya siku moja kwa waandishi wa 
habari kutoka vyombo mbalimbali jijini Dar es Salaam. 
 Mkufunzi
 wa Usalama wa Barabarani waShirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) 
, Callie Long akitoa elimu kwa waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo
 ya siku moja jijini Dar es Salaam.
Mkufunzi
 wa Usalama wa Barabarani waShirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) 
, Callie Long akitoa elimu kwa waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo
 ya siku moja jijini Dar es Salaam.
 
  
  
  
  Waandishi wa habari mbalimbali waliohudhuria mafunzo ya usalama barabarani ya siku moja jijini Dar es Salaam ambapo walipata 
 kujifunza mambo yanayohusu usalama wa barabarani ikiwepo kupewa ripoti 
ya ajali ambazo hutokea duniani na Tanzania, umuhimu wa uvaaji kinga 
(helment), umuhimu wa uvaaji mkanda kwenye gari  uendeshaji vyombo vya 
moto na vizuizi kwa watoto
 Waandishi wa habari mbalimbali waliohudhuria mafunzo ya usalama barabarani ya siku moja jijini Dar es Salaam ambapo walipata 
 kujifunza mambo yanayohusu usalama wa barabarani ikiwepo kupewa ripoti 
ya ajali ambazo hutokea duniani na Tanzania, umuhimu wa uvaaji kinga 
(helment), umuhimu wa uvaaji mkanda kwenye gari  uendeshaji vyombo vya 
moto na vizuizi kwa watoto
 
(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG)
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni