Alhamisi, 21 Julai 2016

WARSHA YA WADAU YA KUPITIA RASIMU YA SERA YA TAIFA YA MAZINGIRA YAFANYIKA DAR ES SALAAM

s1Sehemu  ya wadau kutoka Idara na Taasisi mbalimbali za Serikali wakifuatilia Hotuba ya ufunguzi iliyotolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (hayupo pichani) katika Warsha ya kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira.
s2Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Mbaraka AbdulWakil akiteta jambo na Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Bw. Richard Muyungi (kushoto) mara baada ya kufungua Warsha ya kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira. Warsha hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Bw. Deogratius Paul.
s3Wana warsha wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi mara baada ya ufunguzi wa Warsha katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.
Picha na Mpiga Picha Wetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni