 Sehemu 
 ya wadau kutoka Idara na Taasisi mbalimbali za Serikali wakifuatilia 
Hotuba ya ufunguzi iliyotolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais 
(hayupo pichani) katika Warsha ya kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya 
Mazingira.
Sehemu 
 ya wadau kutoka Idara na Taasisi mbalimbali za Serikali wakifuatilia 
Hotuba ya ufunguzi iliyotolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais 
(hayupo pichani) katika Warsha ya kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya 
Mazingira. 
  Katibu
 Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Mbaraka AbdulWakil akiteta jambo na 
Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Bw. Richard Muyungi (kushoto) mara baada 
ya kufungua Warsha ya kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira. 
Warsha hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, jijini Dar 
es Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Bw. Deogratius Paul.
Katibu
 Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Mbaraka AbdulWakil akiteta jambo na 
Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Bw. Richard Muyungi (kushoto) mara baada 
ya kufungua Warsha ya kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira. 
Warsha hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, jijini Dar 
es Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Bw. Deogratius Paul. 
 Wana
 warsha wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi mara baada ya 
ufunguzi wa Warsha katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es 
Salaam.
Wana
 warsha wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi mara baada ya 
ufunguzi wa Warsha katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es 
Salaam. 
Picha na Mpiga Picha Wetu
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni