Sehemu
ya wadau kutoka Idara na Taasisi mbalimbali za Serikali wakifuatilia
Hotuba ya ufunguzi iliyotolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais
(hayupo pichani) katika Warsha ya kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya
Mazingira.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Mbaraka AbdulWakil akiteta jambo na
Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Bw. Richard Muyungi (kushoto) mara baada
ya kufungua Warsha ya kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira.
Warsha hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, jijini Dar
es Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Bw. Deogratius Paul.
Wana
warsha wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi mara baada ya
ufunguzi wa Warsha katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es
Salaam.
Picha na Mpiga Picha Wetu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni