 Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (wapili kulia) 
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Baraza la Kuu la Waislamu (BAKWATA), 
Suleman Said Lolila wakati Waziri huyo alipokuwa anawasili katika Hoteli
 ya Serena, Dar es Salaam, kwa ajili ya kushiriki Kongamano la Viongozi 
wa Dini lililojadili masuala ya ugaidi. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya 
Sheria wa Wizara hiyo, Marlin Komba, na wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa
 Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Dk Leonard Mtaita.
Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (wapili kulia) 
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Baraza la Kuu la Waislamu (BAKWATA), 
Suleman Said Lolila wakati Waziri huyo alipokuwa anawasili katika Hoteli
 ya Serena, Dar es Salaam, kwa ajili ya kushiriki Kongamano la Viongozi 
wa Dini lililojadili masuala ya ugaidi. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya 
Sheria wa Wizara hiyo, Marlin Komba, na wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa
 Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Dk Leonard Mtaita.  
  Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba akizungumza na viongozi 
wa dini kuhusu masuala mbalimbali ya amani nchini katika Kongamano la 
Viongozi wa Dini lililofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es 
salaam. Katika hotuba yake, Waziri Mwigulu aliwataka viongozi hao 
kutokuhusisha kosa lifanyalo na mtu au watu fulani kulifananisha na dini
 yake, amewaomba viongozi hao watoe ushirikiano kwa kutoa taarifa za 
matukio mbalimbali ya kiuhalifu nchini. Kutoka kulia ni Askofu Mkuu wa 
Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Paul Ruzoka, Mufti Mkuu wa Tanzania, 
Abubakary Zubeiry Bin Ally na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo 
Tanzania (CCT), Dk Leonard Mtaita.
Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba akizungumza na viongozi 
wa dini kuhusu masuala mbalimbali ya amani nchini katika Kongamano la 
Viongozi wa Dini lililofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es 
salaam. Katika hotuba yake, Waziri Mwigulu aliwataka viongozi hao 
kutokuhusisha kosa lifanyalo na mtu au watu fulani kulifananisha na dini
 yake, amewaomba viongozi hao watoe ushirikiano kwa kutoa taarifa za 
matukio mbalimbali ya kiuhalifu nchini. Kutoka kulia ni Askofu Mkuu wa 
Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Paul Ruzoka, Mufti Mkuu wa Tanzania, 
Abubakary Zubeiry Bin Ally na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo 
Tanzania (CCT), Dk Leonard Mtaita.  
  Sehemu
 ya viongozi wa dini walihudhuria katika Kongamano la Viongozi wa Dini 
nchini lililofanyika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kongamano 
hilo ambalo lilihudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu 
M.L Nchemba (hayupo pichani), lilijadili masuala mbalimbali ya ugaidi 
pamoja na ushirikiano wa dini mbalimbali nchini. Hata hivyo Waziri 
Mwigulu aliwataka viongozi hao kutokuhusisha kosa lifanyalo na mtu au 
watu fulani kulifananisha na dini yake, amewaomba viongozi hao watoe 
ushirikiano kwa kutoa taarifa za matukio mbalimbali ya kiuhalifu nchini.
Sehemu
 ya viongozi wa dini walihudhuria katika Kongamano la Viongozi wa Dini 
nchini lililofanyika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kongamano 
hilo ambalo lilihudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu 
M.L Nchemba (hayupo pichani), lilijadili masuala mbalimbali ya ugaidi 
pamoja na ushirikiano wa dini mbalimbali nchini. Hata hivyo Waziri 
Mwigulu aliwataka viongozi hao kutokuhusisha kosa lifanyalo na mtu au 
watu fulani kulifananisha na dini yake, amewaomba viongozi hao watoe 
ushirikiano kwa kutoa taarifa za matukio mbalimbali ya kiuhalifu nchini.
  
  Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (watatu kulia) akiandika
 maelezo ya hotuba ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT),
 Dk Leonard Mtaita (kushoto) katika kongamano la viongozi wa dini 
lililofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kongamano 
hilo lilijadili kuhusu ugaidi na ushirikiano wa madhehebu mbalimbali ya 
dini nchini. Kulia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT Mstaafu, Alex 
Malasusa. Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakary Zubeiry Bin Ally (wapili 
kushoto), Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Paul Ruzoka (watatu 
kushoto) na Mufti wa Zanzibar, Sheikh Saleh Omar.
Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (watatu kulia) akiandika
 maelezo ya hotuba ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT),
 Dk Leonard Mtaita (kushoto) katika kongamano la viongozi wa dini 
lililofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kongamano 
hilo lilijadili kuhusu ugaidi na ushirikiano wa madhehebu mbalimbali ya 
dini nchini. Kulia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT Mstaafu, Alex 
Malasusa. Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakary Zubeiry Bin Ally (wapili 
kushoto), Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Paul Ruzoka (watatu 
kushoto) na Mufti wa Zanzibar, Sheikh Saleh Omar.  
 Mkurugenzi
 wa Idara ya Sheria wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba 
akimfafanulia jambo Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakary Zubeiry Bin Ally 
(kushoto) mara baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L 
Nchemba (hayupo pichani) kuzungumza na viongozi wa dini kuhusu masuala 
mbalimbali ya amani nchini katika Kongamano la Viongozi wa Dini 
lililofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kulia ni 
Afisa Sheria wa Wizara hiyo, Berious Nyasebwa.
Mkurugenzi
 wa Idara ya Sheria wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba 
akimfafanulia jambo Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakary Zubeiry Bin Ally 
(kushoto) mara baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L 
Nchemba (hayupo pichani) kuzungumza na viongozi wa dini kuhusu masuala 
mbalimbali ya amani nchini katika Kongamano la Viongozi wa Dini 
lililofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kulia ni 
Afisa Sheria wa Wizara hiyo, Berious Nyasebwa.  
Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni