Jumatano, 31 Agosti 2016

WAZIRI NAPE AKUTANA NA UMOJA WA VYAMA VYA WAALIMU WA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA(SATO)

 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimia na Rais wa Chama
cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Gratian Mkoba walipokutana katika ufunguzi wa
mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa
Afrika (SATO)yaliyofanyika Agosti 30,2016.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akimsikilza Rais wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Gratian
Mkoba walipokuwa wakijadiliana maswala mbalimbali ya kimichezo katika ufunguzi
wa mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa
Afrika(SATO) uliofanyika Agosti 30,2016.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye (wa pili kushoto) akizungumza na viongozi wa Umoja wa Vyama vya
Waalimu wa nchi za Kusini mwa Afrika (SATO) katika ufunguzi ya mashindano ya
michezo ya Umoja huo uliofanyika Agosti 30,2016.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Yahya
Msugwa(kulia) akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Mhe. Nape Moses Nnauye (wa pili kushoto) walipokutana katika ufunguzi wa
mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa
Afrika (SATO) uliofanyika Agosti 30,2016.
Rais wa Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini
mwa Afrika(SATO) Bw. Henry Kapenda akielezea jambo kwa Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (wa pili kushoto) walipokutana
katika ufunguzi wa mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi
za Kusini mwa Afrika (SATO) uliofanyika Agosti 30,2016.
 
PICHA na  Raymond Mushumbusi WHUSM

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni