Madiwani kutoka Uganda wafanya ziara ya mafunzo Jijini Dar es Salaam
Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es 
Salaam Mhe. Isaya Mwita Charles akizungumza wakati wa ufunguzi wa 
mkutano baina ya Wataalamu kutoka Jijini la Dar es Salaam na Madiwani 
kutoka baadhi ya Halmashauri za Uganda Magharibi na Kaskazini wakati wa 
ziara yao ya kujifunza masuala mbalimbali leo Jijini Dar es 
Salaam.Kutoka kulia ni Mratibu wa Taifa wa Mtandao wa Majiji Tanzania 
(TACINE) Bw. Philotheusy Mbogoro, Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jiji 
la Dar es Salaam, Phillip Mwakyusa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya 
Koboko, na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mamlaka ya Miji nchini Uganda 
(UAAU) Mhe. Sanya Wilson.
Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya 
Jiji la Dar es Salaam, Phillip Mwakyusa akielezea jambo wakati wa 
ufunguzi wa mkutano baina ya Wataalamu kutoka Jijini hilo na baadhi ya 
Madiwani kutkoka Halmashauri za Miji nchini Uganda wakati wa ziara yao 
ya kujifunza masuala mbalimbali leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto
 ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Koboko, na Makamu Mwenyekiti wa Chama 
cha Mamlaka ya Miji nchini Uganda (UAAU) Mhe. Sanya Wilson na Mstahiki 
Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Isaya Mwita Charles
Afisa Uhusiano na Itifaki wa Jiji 
la Dar es Salaam Gaston Mwakwembe akielezea jambo wakati wa mkutano 
uliowakutanisha baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Jiji na baadhi ya 
Madiwani kutoka nchini Uganda leo Jijini Dar es Salaam. Madiwani hao 
wapo katika ziara ya kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo Menejimenti ya 
Usafiri, Uchafu, Maji, Rasilimali watu, Fedha na namna ya kuongoza 
mabaraza ya Madiwani.
Mhandisi wa Barabara wa 
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Swalehe Nyenye akiwasilisha maada 
kuhusu mkakati wa kuboresha usafiri katika Jiji la Dar es Salaam leo 
wakati wa ziara ya baadhi ya Madiwani kutoka Uganda walipo nchini kwa 
ajili ya kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo Menejimenti ya Usafiri, 
Uchafu, Maji, Rasilimali watu, Fedha,Kilimo cha mjini,na namna ya 
kuongoza mabaraza ya Madiwani.
Afisa Utumishi wa Halmashauri ya 
Jiji la Dar es Salaam Godhelp Ringo  akifafanua maada kuhusu muundo wa 
Jiji la Dar es Salaam wakati wa ziara ya baadhi ya Madiwani kutoka 
Uganda waliopo nchini kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo 
Menejimenti ya Usafiri, Uchafu, Maji, Rasilimali watu, Fedha,Kilimo cha 
mjini,na namna ya kuongoza mabaraza ya Madiwani.
Baadhi ya Madiwani kutoka nchini 
Uganda wakifuatilia mada kutoka kwa wataalamu wa Jiji la Dar es Salaam 
wakati wa ziara kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo Barabara
 na Mitaa, Menejimenti ya Usafiri, Uchafu, Maji, Rasilimali watu, 
Fedha,Kilimo cha mjini,na namna ya kuongoza mabaraza ya Madiwani.
Baadhi ya Madiwani kutoka nchini 
Uganda wakifuatilia mada kutoka kwa wataalamu wa Jiji la Dar es Salaam 
wakati wa ziara kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo Barabara
 na Mitaa, Menejimenti ya Usafiri, Uchafu, Maji, Rasilimali watu, 
Fedha,Kilimo cha mjini,na namna ya kuongoza mabaraza ya Madiwani.
Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es 
Salaam Mhe. Isaya Mwita Charles akimkabidhi zawadi Mstahiki Meya wa 
Manispaa ya Koboko, na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mamlaka za Miji 
nchini Uganda (UAAU) Mhe. Sanya Wilson(kushoto) wakati wa ziara ya 
Madiwani kutoka nchini Uganda leo Jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia ni
 Kaimu  ya  Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jiji la Dar es Salaam, Phillip 
Mwakyusa.
Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es 
Salaam Mhe. Isaya Mwita Charles akipokea zawadi kutoka kwa  Mstahiki 
Meya wa Manispaa ya Koboko, na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mamlaka za
 Miji nchini Uganda (UAAU) Mhe. Sanya Wilson(kushoto) wakati wa ziara ya
 Madiwani kutoka nchini Uganda leo Jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia 
ni Kaimu  ya  Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jiji la Dar es Salaam, Phillip 
Mwakyusa.
Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es 
Salaam Mhe. Isaya Mwita Charles akimkabidhi zawadi Mstahiki Meya wa 
Manispaa ya Koboko, na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mamlaka za Miji 
nchini Uganda (UAAU) Mhe. Sanya Wilson(kushoto) wakati wa ziara ya 
Madiwani kutoka nchini Uganda leo Jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia ni
 Kaimu  ya  Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jiji la Dar es Salaam, Phillip 
Mwakyusa.
Picha na Frank Shija, MAELEZO.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni