NHIF YASHIRIKI MAONESHO YA 8/8 KITAIFA NGONGO MKOANI LINDI KWA UPIMAJI WA AFYA NA UTOAJI ELIMU KWA UMMA
Meneja
wa mfuko wa Taifa wa bima ya afya mkoa wa Lindi Fortunata Raymond
akiwapa maelezo ya mpango wa KIKOA unaowawezesha
wanavikundi,wajasiriamali kupata huduma za matibabu kuchangia mara moja
kwa mwaka (Shs 76,800),kwa wananchi waliotembelea katika banda la mfuko
lililopo kwenye viwanja vya Ngongo mjini Lind
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni