Jumapili, 28 Agosti 2016

MAJALIWA AKUTANA NA UHURU KENYATTA NAIROBI


maja1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta katika Mkutano wa TICAD 6  kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
maja2
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta  akizungumza jambo wakati akisalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  katika Mkutano wa TICAD 6  kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
maja3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali wanaoshiriki katika Mkutano wa TICAD 6 kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyeatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni