MAJALIWA AKUTANA NA UHURU KENYATTA NAIROBI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa 
akisalimiana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta katika Mkutano wa TICAD 6 
 kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC) jijini 
Nairobi Agosti 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta  
akizungumza jambo wakati akisalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  
katika Mkutano wa TICAD 6  kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha 
Kenyatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016. (Picha na Ofisi ya 
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa
 katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali 
wanaoshiriki katika Mkutano wa TICAD 6 kwenye Kituo cha Kimataifa cha 
Mikutano cha Kenyeatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016.(Picha na 
Ofisi ya Waziri Mkuu)
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni