Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Kulia)
akitoa maelekezo kwa Meneja wa kiwanja cha ndege cha Rukwa Bw. Sandali
Kaisi (kushoto) kuhusu uboreshwaji wa kiwanja hicho wakati alipotembelea
kiwanja hicho.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa pili
Kulia) akitoa maelekezo kwa Meneja wa kiwanja cha ndege cha Rukwa Bw.
Sandali Kaisi (wa kwanza kushoto) wakati alipokagua kiwanja hicho.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa
maelekezo kwa Mkandarasi anayejenga barabara ya Sumbawanga Mjini-Chala-
Kanazi yenye urefu wa KM 75 alipokagua ujenzi wa barabara hiyo.
Mkandarasi
anayejenga barabara ya Kanazi-Kizi-Kibaoni yenye urefu wa KM 76.6
akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa
Makame Mbarawa wakati alipokagua ujenzi huo. Katikati ni Meneja wa
Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Mkoa wa Rukwa Eng. Masuka Mkina.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni