NETBALL TANZANIA YAANZA VYEMA MASHGINDANO YA MAJESHI
Mchezaji Nasra Suleiman wa
Tanzania akiwania mpira mbele ya Wachezaji wa Uganda katika michezo wao
wa Kwanza wa mashindano ya Majeshi kwa nchi za Afrika Mashariki katika
Uwanja wa Amahoro Nchini Rwanda Tanzania ilishinda 29-27 (Picha na
Selemani Semunyu)
Mchezaji Faraja Malaki wa
Tanzania akiwania mpira mbele ya Wachezaji wa Uganda katika michezo wao
wa Kwanza wa mashindano ya Majeshi kwa nchi za Afrika Mashariki katika
Uwanja wa Amahoro Nchini Rwanda Tanzania ilishinda 29-27 (Picha na
Selemani Semunyu)
Mchezaji Veronica Patrick wa
Tanzania akiwania mpira mbele ya Wachezaji wa Uganda katika michezo wao
wa Kwanza wa mashindano ya Majeshi kwa nchi za Afrika Mashariki katika
Uwanja wa Amahoro Nchini Rwanda Tanzania ilishinda 29-27 (Picha na
Selemani Semunyu)
Mchezaji Veronica Patrick wa
Tanzania akiwania mpira mbele ya Wachezaji wa Uganda katika michezo wao
wa Kwanza wa mashindano ya Majeshi kwa nchi za Afrika Mashariki katika
Uwanja wa Amahoro Nchini Rwanda Tanzania ilishinda 29-27 (Picha na
Selemani Semunyu)
……………………………………………………………………………………………….
Na Selemani Semunyu JWTZ
Timu ya Mpira wa Pete Netball ya
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ime3rejesha heshima yake baada
ya Kuwafunga mabingwa Watezi wa Michuano hiyo kwa Mpira wa Pete Uganda
kwa magoli 29 kwa 27.
Katika Mchezo huo uliokuwa wa
Vuta nikuvute na rabsha za hapa na pale zilizizojitokeza kabla wakati
na Baada ya Mchezo huo ambao ulikuwa na Upinzani Mkali kutokana na
historia ya Timu hizo.
Katika Robo ya Kwanza Tanzania
ilimaliza ikiongoza kwa magoli saba kwa Sita huku Timu zote zikicheza
Mchezo wa kuviziana lakini uliojaa nguvu na kukamiana miongoni mwa
Wachezaji.
Katika Robo ya Pili Tanzania pia
ilimalizai ikiwa mbele kwa mabao 13 kwa 11 kukiwa na tofauti ya magoli
mawili tofauti na robo ya kwanza ambayo ilimalizika kwa tofauti ya goli
moja.
Robo ya Tatu Uganda walikuja na
kusawazisha na kasha kuongeza na hivyo kumaliza kwa ushindi wa magoli 20
kwa 19 ya Tanzania na kuwafanya Tanzania kwenda kujiuliza.
Hatimaye robo ya Mwisho
ikamalizika na Timu ya Tanzania kuibuka na Ushindi na hivyo kuwatisha
Mabingwa wa mwaka uliopita pengine utarejea kwa Tanzania
Kwa Upande wa Nahodha wa Timu
hiyo Dorita Mbunda alisema mechi yao na Uganda wamecheza kama fainali
kutoka na historian a kuahidi kujipanga kwa ajili ya kuwakabili Kenya.
Kwa upande wake Nahodha Uganda
Lilian Ajio amelalalimika Waamuzi kutoelewa Sheria Mpya za Mchezo huo
hali iliyopelekea wakati mwingine kutokuwa na maamuzi sahihi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni