Jumanne, 30 Agosti 2016

NAKATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO AKUTANA NA MWAKILISHI WA SHIRIKA LA (GIZ) LA UJERUMANI


kamu1
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora (kushoto) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa shirika la maendeleo la Ujerumani (GIZ) Dkt. Regine Qualmann kuhusu ushirikiano baina ya Wizara  na  shirika hilo katika upande wa Tehama .
kamu2
Mwakilishi Mkazi wa shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) Dkt. Regine Qualmann (katikati) akizungumza jinsi wanavyoitumia TEHAMA  katika kufikisha huduma, (kushoto) ni Katibu Mkuu wa Wizara  ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora na (Kulia) ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Mhandisi Dkt. Maria Sasabo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni