NAKATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO AKUTANA NA MWAKILISHI WA SHIRIKA LA (GIZ) LA UJERUMANI
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, 
Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin 
Kamuzora (kushoto) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa shirika la 
maendeleo la Ujerumani (GIZ) Dkt. Regine Qualmann kuhusu ushirikiano 
baina ya Wizara  na  shirika hilo katika upande wa Tehama . 
Mwakilishi Mkazi wa shirika la 
Maendeleo la Ujerumani (GIZ) Dkt. Regine Qualmann (katikati) akizungumza
 jinsi wanavyoitumia TEHAMA  katika kufikisha huduma, (kushoto) ni 
Katibu Mkuu wa Wizara  ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia 
sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora na (Kulia) ni Naibu Katibu 
Mkuu wa Wizara hiyo Mhandisi Dkt. Maria Sasabo.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni