By Newsroom on August 3, 2016
Mkuu
wa Wilaya ya Dodoma Christina Mndeme (kushoto) akimshukuru mtoto Aisha
Mshantu kwa Msaada wa madawati 50 yenye thamani ya shilingi milioni 5.2
aliyoyatoa katika shule ya Msingi Mwenge iliyopo Kata ya Mbabala
Manispaa ya Dodoma. PICHA KWA HISANI YA OFISI YA MKURUGENZI WA MANISPAA
Mtoto
Aisha Mshantu (kulia )akimkabidhi madawati 50 yenye thamani ya
shilingi milioni 5.2 Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Christina Mndeme
aliyoyatoa katika shule ya Msingi Mwenge iliyopo Kata ya Mbabala
Manispaa ya Dodoma. PICHA KWA HISANI YA OFISI YA MKURUGENZI WA MANISPAA
Mtoto Aisha Mshantu na wazazi wake Mzee Mshantu (wa kwanza kulia) na Bi
Rehema (wa pili kulia) wakiwa amekaa katika madawati aliyoyatoa mtoto
huyo kama msaada katika shule ya Msingi Mwenge iliyopo Kata ya Mbabala
Manispaa ya Dodoma. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Christina
Mndeme. PICHA KWA HISANI YA OFISI YA MKURUGENZI WA MANISPAA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni