MAJALIWA AKUTANA NA MKURUGENZI WA BENKI YA DUNIA NCHINI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa 
akisalimiana na  Mkurugenzi wa Benki ya Dunia Nchini, Bi. Bella  Bird 
 kabla ya mazungumzo yao, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Agosti 18, 
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Maajliwa 
akizungumza  na  Mkurugenzi wa Benki ya Dunia Nchini, Bi. Bella  Bird, 
Ofisini kwake jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016. (Picha na Ofisi ya 
Waziri Mkuu)
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni