FUKO WA PSPF WATOA ELIMU YA KUJIUNGA KATIKA MFUKO WA KUJICHANGIA KWA HIARI
 Afisa
 wa Mfuko wa PSPF Tawi la Zanzibar Bi Fadhila akizungumza wakati wa 
Mkutano Taasisi zisizo rasmin za Wavuvi, Madereva wa gari za mchanga, 
Kifusi na Wakulima wa mbogamboga kujiunga na Mpango wa Uchangiaji wa 
Hiari ya Mfuko wa PSPF uliofanyika katika ukumbi wa Betilyamin Malindi 
Zanzibar.
Washiriki
 wa Mkutano huo wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wakimsikiliza Afisa wa 
Mfuko wa PSPF akitowa maelezo kuhusiana na Mfuko huo. 
Afisa
 wa Idara ya Uvuvi na Maendeleo Zanzibar Ndg Mohammed Chum akitowa 
maelezo wakati wa mkutano huo na Mfuko wa PSPF kwa Wavuvi wa Zanzibar 
kujiunga na Mfuko huo.
Waziri
 wa Kilimo Maliasili Uvuvi na Mifugo Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed
 akifungua mkutano wa Wavuvi na Wananchi wasio kuwa katika Sekta Rasmin 
kujiunga na Mfuko wa PSPF katika Mafao ya Hiari ili kupata huduma muhimu
 za maendeleo kupitia mfuko huo. 
Waziri
 wa Uvuvi Mhe Hamad Rashid Mohammed akisisitiza jambo wakati wa kufungua
 Mkutano wa Wadau Wasiokuwa katika Sekta Rasmin kujiunga na Mfuko wa 
PSPF kupitia Michango ya Hiara ili kupata fursa mbalimbali zinazotolewa 
na PSPF kwa Wanchi wa Tanzania.
Afisa
 wa PSPF Zanzibar Bi Faidha Katavi akitowa maelezo kwa Waziri wa Uvuvi 
kujiunga na Mfuko huo baada ya kufungua mkutano huo wa kuwahamashisha 
Wananchi wasio kuwa katika Sekta rasmin kujiunga na Mfuko wa Kujichangia
 kwa Hiara Mafao yao na kupata fursa zinazotolewa na PSPF kwa 
Watanzania.  
 Mhe Hamad Rashid akijaza fomu ya Kuchangia kwa Hiari Mfuko wa PSPF baada ya kuufungua Mkutano huo na Wavuvi.
Afisa wa PSPF Bi. Faidha Katavi akitowa maelezo jinsi ya kujiunga na Mfuko wa PSPF Kujichangia kwa Hiara Mafao katika mfuko huo.
Afisa
 PSPF Ndg. Hadji Jamadari akitowa maelezo jinsi ya kujiunga na Mfuko wa 
PSPF kwa mafao ya kujichangia kwa hiari kupitia mfuko huo kwa Wananchi 
wasio katika Sekta rasmin jinsi wanavyoweza kunufaika kupitia kuchangia 
mafao kwa hiari.
Afisa
 wa PSPF Ndg Hadji Jamadari akitowa maelekezo kwa Wananchi wanaojiunga 
katika Mfuko wa PSPF kupitia Michango ya Hiari wakati wa mkutano huo 
kutowa Elimu ya Mfuko kwa Wananchi wa Zanzibar wasio kuwa katika Sekta 
Rasmin. 
Afisa
 wa PSPF Ndg. Hadji Jamadari akitowa maelezo ya moja ya fomu ya kujiunga
 na Mfuko wa PSPF kupitia Michango ya Hiara kwa Wananchi wasiokuwa 
katika Sekta rasmin, mkutano huo umewashirikisha Wavuvi, Wachimba 
Mchanga, Magari ya Mizigo ya Mchanga na Kifunzi na Umoja wa Jumuiya 
wakulima wa mbogamboga Zanzibar. 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni