Alhamisi, 11 Agosti 2016

RAIS DKT MAGUFULI AHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI WA JIJI LA MWANZA UWANJA WA FURAHISHA LEO

FUR1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mwanza na maeneo ya kanda ya ziwa katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Furahisha eneo la Kirumba jijini humo. 
APICHA NA IKULU
FUR2 FUR3
Umati wa wananchi ukiwa umefurika kwenye viwanja vya Furahisha jijini Mwanza wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli
FUR4

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni