RAIS DKT MAGUFULI AHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI WA JIJI LA MWANZA UWANJA WA FURAHISHA LEO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi 
wa mkoa wa Mwanza na maeneo ya kanda ya ziwa katika mkutano wa hadhara 
katika uwanja wa Furahisha eneo la Kirumba jijini humo. 
APICHA NA IKULU
Umati wa wananchi ukiwa umefurika 
kwenye viwanja vya Furahisha jijini Mwanza wakimsikiliza Rais wa Jamhuri
 ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni