WANAHISA WA BENKI YA POSTA TANZANIA, TPB, WAUPONGEZA UONGOZI WA BENKI HIYO KWA UENDESHAJI BORA
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, 
Be.Sabasaba Moshingi,(kushoto), akijibu baadhi ya hoja za wajumbe wa 
Mkutano wa mwaka wa wanahisa wa Benki hiyo jijini Dar end Salaam Leo Mei
 25, 2016. Wajumbe walipokea taarifa ya uendeshaji Benki hiyo kwa mwaka 
2015 ikiwa ni pamoja na mipango ya uendeshaji wa Benki kwa mwaka huu wa 
2016. Pamoja na mambo mengine, Bw.Moshingi alisema benki inampango wa 
kuingia kwenye soko la his a(Dar es salaam stock exchange), sambamba na 
kuongeza Huduma za ATM kwenye matawi yake mbalimbali kote nchini. 
Katikati no Mwenyekiti wa Bodi, Profesa Lettice Rutashobya, na kulia in 
Katibu wa Bodi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Sheria wa Benki hiyo, 
Bi.Mystica Mapunda Ngongi.Wakichangia hoja mbalimbali baada ya kupokea 
taarifa ya mahesabu ya fedha iliyosomwa na Meneja wa kampuni ya ukaguzi 
wa mahesabu ya Nexia SJ Tanzania, Bw.Fulgensio Mgaya, ambaye alisema 
mahesabu ya Benki hiyo hayakukutwa na dosari, wajumbe wa mkutano huo, 
Bi.Theresia A Chitumbi na Bw. James Sando, wameupongeza uongozi wa Benki
 hiyo kwa usimamizi thabiti na uendeshaji mzuri wa Benki. (PICHA NA 
K-VIS MEDIA/Khalfan Said). 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Benki ya Posta Tanzania, TPB, Profesa Lettice
Rutashobya, (wapili kulia), akiendesha mkutano wa mwaka wa wanahisa wa benki
hiyo, jijini Dar es Salaam Mei 25, 2016. Kikao hicho kimejadili utendaji kazi
wa benki katika mwaka wa 2015/2016 ambapo wajumbe walijadili mapato ya benki,
upanuzi wa huduma za kibenki nchini ikiwa ni pamoja na mabporesho ya huduma kwa
wateja. Wengine pichani kutoka kulia, ni Msajili wa Hazina, Bw. Lawrence
Mafuru, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar, Bw. Hamisi Mussa Omar.
Rutashobya, (wapili kulia), akiendesha mkutano wa mwaka wa wanahisa wa benki
hiyo, jijini Dar es Salaam Mei 25, 2016. Kikao hicho kimejadili utendaji kazi
wa benki katika mwaka wa 2015/2016 ambapo wajumbe walijadili mapato ya benki,
upanuzi wa huduma za kibenki nchini ikiwa ni pamoja na mabporesho ya huduma kwa
wateja. Wengine pichani kutoka kulia, ni Msajili wa Hazina, Bw. Lawrence
Mafuru, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar, Bw. Hamisi Mussa Omar.
Mwenyekiti akiendesha kikao cha wanahisa wa TPB.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Benki ya Posta Tanzania, TPB, Profesa Lettice
Rutashobya, (wapili kulia), akiendesha mkutano wa mwaka wa wanahisa wa benki
hiyo, jijini Dar es Salaam Mei 25, 2016. Kikao hicho kimejadili utendaji kazi
wa benki katika mwaka wa 2015/2016 ambapo wajumbe walijadili mapato ya benki,
upanuzi wa huduma za kibenki nchini ikiwa ni pamoja na mabporesho ya huduma kwa
wateja. Wengine pichani kutoka kulia, ni Msajili wa Hazina, Bw. Lawrence
Mafuru akizungumza kwenye mkutano huo
Wakurugenzi wa idara mbalimbali za TPB, wakibadilishana mawazo wakati wa mapumziko
Katibu Mkuu wizara ya fedha serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bw.Hamisi Mussa Omar(kulia), na Mkurugenzi wa sheria na Katibu wa Bodi ya TPB, Bi.Mystica Mapunda Ngongi.
 Picha ya pamoja ya uongozi wa TPB, na wanahisa waliohudhuria mkutano huo
 Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Bw. Sa asaba Moshingi, akipitia makabrasha
 Katibu Mkuu wizara ya fedha, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bw.Hamisi Mussa Omar. (kulia), akizungumza kwenye mkutano huo. Kushoto ni Bw.James Sando wa TPC.
 Msajili
 wa Hazina kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Lawrence Mafuru, (kushoto), 
akiteta jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Bw. Sabasaba Moshingi
Mwenyekiti
 wa Bodi ya TPB, Profesa Lettice Rutashobya, (kulia), akifurahia jambo 
na Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Bw. Sabasaba Moshingi
 










 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni