Alhamisi, 19 Mei 2016

HABARI FUPIFUPI KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO

indexWAZIRI MKUU APIGA MARUFUKU LUMBESA
Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amesema kuwa ni kosa kwa wanunuzi wa mazao ya wakulima kununua mazao kwa vipimo visivyo halali ambavyo havikuidhinishwa na Wakala wa Vipimo nchini.
 
Amewaagiza viongoizi wote wa Halmashauri,Wilaya na Mikoa yote  nchini kuhakikisha wakulima hawanyonywi kupitia wananunuzi mazao kuliko vipimo halisi kama vile Lumbesa.
 
Mhe. Majaliwa amewaagiza Kamati za Ulinzi na Usalama katika za mikoa na wilaya kusimamia zoezi hili ili mkulima alipe kwa vipimo halali ambavyo ni kilo au gunia liloshonwa kiwanda na sio lile liloongezewa kichuguu(lumbesa).
 
ELIMU YAONGEZA IDADI YA WATOTO WANAOINGIA LA KWANZA
Kuhusu suala la elimu bure, Waziri Mkuu amesema kuwa lengo ilikuwa na lengo la kumpunzia mzazi mzigo wa ada ya shule za Msingi na Sekondari.
 
Mhe. Majaliwa alisema kuwa ada hizo zilikuwa ni kati ya shilingi elfu 20 na elfu 70.
 
Amesema kuwa sehemu imebebwa na Serikali ni pamoja na maji,ulinzi,umeme na gharama za mitani mbalimbali.
 
Aidha, Mhe. Majaliwa alisema kuwa baada ya mpango huo wa elimu bure kumekuwepo na ongezeko kubwa na watoto waliondikishwa kujiunga darasa la kwanza mwaka huo  na hivyo kusababisha changamoto ya upungufu wa madawati na madarasa.
 
Alisema kuwa Serikali inaendelea kuzifanyia changamoto hizo na kutoa wito wadau mbalimbali kuungano mkono juhudi hizo za Serikali.
mwisho
WAZIRI MKUU APIGA MARUFUKU LUMBESA
Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amesema kuwa ni kosa kwa wanunuzi wa mazao ya wakulima kununua mazao kwa vipimo visivyo halali ambavyo havikuidhinishwa na Wakala wa Vipimo nchini.
 
Amewaagiza viongoizi wote wa Halmashauri,Wilaya na Mikoa yote  nchini kuhakikisha wakulima hawanyonywi kupitia wananunuzi mazao kuliko vipimo halisi kama vile Lumbesa.
 
Mhe. Majaliwa amewaagiza Kamati za Ulinzi na Usalama katika za mikoa na wilaya kusimamia zoezi hili ili mkulima alipe kwa vipimo halali ambavyo ni kilo au gunia liloshonwa kiwanda na sio lile liloongezewa kichuguu(lumbesa).
 
ELIMU YAONGEZA IDADI YA WATOTO WANAOINGIA LA KWANZA
Kuhusu suala la elimu bure, Waziri Mkuu amesema kuwa lengo ilikuwa na lengo la kumpunzia mzazi mzigo wa ada ya shule za Msingi na Sekondari.
 
Mhe. Majaliwa alisema kuwa ada hizo zilikuwa ni kati ya shilingi elfu 20 na elfu 70.
 
Amesema kuwa sehemu imebebwa na Serikali ni pamoja na maji,ulinzi,umeme na gharama za mitani mbalimbali.
 
Aidha, Mhe. Majaliwa alisema kuwa baada ya mpango huo wa elimu bure kumekuwepo na ongezeko kubwa na watoto waliondikishwa kujiunga darasa la kwanza mwaka huo  na hivyo kusababisha changamoto ya upungufu wa madawati na madarasa.
 
Alisema kuwa Serikali inaendelea kuzifanyia changamoto hizo na kutoa wito wadau mbalimbali kuungano mkono juhudi hizo za Serikali.
mwisho

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni