| Muonekano
 wa Ofisi za ardhi katika Halmashauri ya jiji la Mbeya zikiwa katika 
sura ya kupendeza ,nani ofisi nyeti sana katika halmashauri hiyo ,jambo 
la kusikitisha ofisi hizo ukizitizama kwa muonekano wa mbele ni ofisi 
nzuri sana lakini kwa muonekano wa nyuma ni aibu ,mazingira yake si 
rafiki na huduma zitolewazo katika ofisi hizo-Swali wahusika wanalijua 
hilo ua bajeti ya ukarabati haipo sawa sawa.Picha Emanuel Madafa-Jamiimojablogu) | 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni