Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akiwahutubia Wakandarasi, Wahandisi na wadau mbalimbali wa sekta ya 
Ujenzi kabla ya kufungua rasmi Mkutano  wa Siku mbili wa Mashauriano wa 
Bodi ya Usajili wa Makandarasi nchini CRB uliofanyika katika ukumbi wa 
mikutano wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipewa 
maelezo kuhusu katapila linalotumika katika kazi mbalimbali za ujenzi 
mara baada ya kufungua mkutano wa siku mbili wa Mashauriano wa Bodi ya 
Usajili wa Makandarasi jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa 
wakati akikagua baadhi ya mitambo na magari mbalimbali katika maonesho 
ya vifaa hivyo vinavyotumika katika sekta ya ujenzi.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa wakati 
akikagua baadhi ya mitambo na magari mbalimbali katika maonesho ya vifaa
 hivyo vinavyotumika katika sekta ya ujenzi.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia 
vifaa vya ujenzi katika moja ya mabanda mara baada ya kufungua mkutano 
wa siku mbili wa Mashauriano wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi jijini 
Dar es Salaam.
Wadau
 mbalimbali wa Sekta ya Ujenzi wakiwemo Wahandisi na Wakandarasi 
wakipiga makofi wakati wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. 
John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika mkutano huo wa 
Mashauriano wa CRB jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni