MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI, DODOMA.
By Newsroom on 27 May 2016 
Waziri
 wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye ambaye pia ni 
Mbunge wa CCM Jimbo la Mtama akiwasili katika viwanja vya Bunge mjini 
Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.
Mbunge
 wa CHADEMA Jimbo la Mlimba, Mhe. Susan Kiwanga akiwasili katika viwanja
 vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo 27 Mei, 
2016.
Mbunge
 wa Viti Maalum CCM, Mhe. Martha Mlata (kushoto) akiwa ameongozana na 
Mbunge mwenzie wakiingia ndani ya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao 
vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.
Mbunge
 wa Viti Maalum CCM, Mhe. Martha Mlata (kushoto) akiwa ameongozana na 
Mbunge mwenzie wakiingia ndani ya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao 
vya Bunge hilo leo 27 Mei, 2016.
Waziri
 wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala 
Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kushoto) akiwa ameongozana na Naibu 
Waziri, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Masauni wakiwasili 
katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo 
leo 27 Mei, 2016.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (kushoto) akiwa ameongozana na Mbunge mwenzie wakiwasili katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge hilo leo
PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA, MAELEZO-DODOMA.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni