MULTICHOICE TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA AFRIKA.
Sehemu
 ya Watendaji wakuu wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania wakiongozwa na 
Mtendaji Mkuu wao, Francis Senguji (wa pili kushoto) wakiwa katika 
tafrija ya kuadhimisha siku ya Afrika, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa 
Hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es salaam.
 Meneja
 Masoko wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania, Furaha Samalu akizungumza 
machache katika tafrija hiyo ya kuadhimisha siku ya Afrika, iliyofanyika
 kwenye Ukumbi wa Hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es salaam.

 Mtendaji
 Mkuu wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania, Francis Senguji akizungumza 
machache katika tafrija hiyo ya kuadhimisha siku ya Afrika, iliyofanyika
 kwenye Ukumbi wa Hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es salaam. Kushoto ni
 Meneja Masoko wa Kampuni hiyo, Furaha Samalu.
 Burudani ya Kiafrika ikitolewa.
 Mshehereshaji
 katika Tafrija hiyo, Masoud Kipaya (kati) pamoja na Meneja Masoko wa 
Kampuni ya MultiChoiche Tanzania, Furaha Samalu, wakimsikiliza Msanii wa
 Muziki wa Kizazi kipya, Shilole wakati akimtangaza mmoja wa washindi wa
 Dikoda ya DSTV Exprola.

Washindi
 wa Dikoda za DSTV Exprola kwa usiku huo walikuwa ni Mmiliki Mwendeshaji
 wa Libeneke la Full Shangwe Blog, John Bukuku na Mwanadada Latoya 
aliewahi kuwa Mshiriki wa Shindano la Big Brother Afrika miaka ya nyuma.
 















 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni