MATUKIO MBALIMBALI YA PICHA KUTOKA BUNGENI DODOMA
Mbunge
 wa CCM, Mhe. Mary Mwanjelwa akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma 
kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Mbunge
 wa Nkasi Kaskazini, Mhe. Ally Keissy akiwasili viwanja vya Bunge mjini 
Dodoma kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini 
Dodoma.
Waziri
 wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (kulia) akiwa 
ameongozana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Jumanne Maghembe 
wakielekea Bungeni kuhudhuria vikao vya bunge hilo leo 23 Mei, 2016 
mjini Dodoma.
Naibu
 Waziri, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Masiliano, Mhe. Eng. Edwin 
Ngonyani akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao ndani
 ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Naibu
 Waziri, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, 
Mhe. Hamis Kingwangalla akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma 
kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Naibu
 Waziri, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Eng. Hamad Masauni 
(kushoto) akiwa ameongozana na Mbunge wa Viti Maalum CCM, Mhe. Halima 
Bulembo wakiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao ndani
 ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Naibu
 Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. 
Selemani Jafo akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao 
ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.
PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA, MAELEZO-DODOMA.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni