TANZANIA KUTOANDAA CECAFA CUP
Shirikisho
 a Soka Tanzana (TFF), limetangaza kutoandaa michuano ya kuwania Kombe 
la timu za nchi wanachama wa Shirikisho la Soka la Afrika Mashariki na 
Kati (CECAFA), maarufu kama Kombe la Kagame kwa mwaka 2016 kama 
ilivyopendekezwa.
Sababu za TFF ya kutoandaa fainali hizo ni kwa kubanwa na ratiba ya michuano ya kitaifa na kimataifa
Awali mkutano mkuu wa CECAFA, uliamua Zanzibar iwe mwenyeji wa michuano ya Kagam
Baadaye kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa ilionekana Zanzibar hawataweza kufanya
Baada ya hapo TFF ilianza kuangalia uwezekano wa mashindano haya kwa kumshirikisha mabingwa wa 2015/16 ambao ni Yanga
Kutokana na ratiba ya Kombe la 
Shirikisho Barani Afrika (CAFCC) iliyotolewa na Shirikisho la Soka la 
Afrika (CAF), kipindi ch Juni hadi Agosti, 2016 Yanga watakuwa na kwenye
 michuano ya CAF hatua ya makundi hivyo ushiriki wao CECAFA utakuwa 
mgumu ilihali michuano ya CECAFA imepangwa kufanyika Juni na Julai, 
mwaka huu.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni