MATUKIO YA BUNGE LEO MJINI DODOMA 26/5/2016.
Kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikiendelea leo mjini Dodoma.
Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Tulia Ackson
akifuatilia kwa makini michango ya wabunge wakati wa kipindi cha Maswali
na Majibu ndani ya Bunge mjini Dodoma.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mhe. Angela
Kairuki akifuatilia jambo ndani ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo.
Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari wakifuatilia kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo.
Waziri
wa Elimu,Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce
Ndalichako akijadiliana jambo na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu,
Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde bungeni mjini Dodoma.
Waziri
wa Elimu,Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce
Ndalichako akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya
Elimu, Sayansi , Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi kwa mwaka 20016/2017
mjini Dodoma. Wizara hiyo katika mwaka wa fedha 2016/2017 imeomba
kupitishiwa shilingi Bilioni 1.39 . Picha/Aron Msigwa-MAELEZO.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni