MATUKIO YA PICHA KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO
Wabunge
wa Upinzani wakitoka Bungeni baada ya dua kusomwa na Naibu Spika Dkt.
Tulia Ackson Juni 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali bungeni mjini Dodoma Juni 16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wageni
waliofika Bungeni mjini Dodoma kujionea shughuli mbalimbali za bunge
wakifuatilia kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu Juni 16, 2016. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Nkansi Kaskazini, Ally
Kessy bungeni mjini Dodoma Juni16, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa zamani wa Singida mjini ,
Mohammed Dewji kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 16, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa zamani wa Singida
mjini , Mohammed Dewji kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 16,
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mwibara, Kange Lugola
kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Juni 16, 2016. (Picha na ofisi ya
Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni