MAZISHI YA BABA YAKE POLEPOLE
Mkuu
 wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Humprey Polepole akizungumza wakati wa ibada 
maalum ya kumuombea Marehemu Hezron Polepole Kinyangidzi katika kanisa 
la KKKT Ushirika wa Segerea.
Picha ya Marehemu Hezron Polepole Kinyangidzi
Waziri
 Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya
 Katiba, Mzee Joseph Sinde Warioba na Mkewe, Katibu Mkuu Wizara ya 
Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Engineer Nyamuhanga, Katibu wa CCM Ilala
 pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Tarime Ndugu Glorious Luoga wakati ya Ibada
 ya kumuombea marehemu Baba mzazi wa Humphrey Polepole katika kanisa la 
KKKT usharika wa Segerea.
 Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya 
Mabadiliko ya Katiba, Mzee Joseph Sinde Warioba akizungumza na Mkuu wa 
Wilaya ya Ubungo Mhe. Humphrey Polepole kwenye msiba wa Mzee
Jaji Warioba na Mkwewe wakitoa heshima ya mwisho
Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim akiweka udongo kaburi
 Mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe. Humphrey Polepole akiweka udongo kwenye kaburi la Baba yake Mzee hezron Polepole.
 Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya 
Mabadiliko ya Katiba, Mzee Joseph Sinde Wariobaakiweka udongo kwenye 
kaburi la Baba yake Humphrey Polepole.
Humphrey
 Polepole akiweka shada la maua kwenye kaburi la Baba yake mzazi 
aliyezikwa tarehe 26Juni 2016 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es
 salaam.
 









 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni