OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU ITAKUTANA NA WADAU PAMOJA NA WANANCHI 28 JUNI, 2016
 Taarifa
 kwa UmmaKatika kuazimisha “WIKI YA UTUMISHI WA UMMA” yenye kauli mbiu 
“Uongozi wa Umma kwa ukuaji Jumuishi: kuelekea katika Afrika 
tunayoitaka”, Ofisi ya Taifa ya Takwimu inawajulisha wananchi na wadau 
wote kuwa imetenga siku ya Jumanne tarehe 28 Juni, mwaka huu, kuwa siku 
maalumu ya kukutana na wananchi ili kutoa elimu na kusikiliza hoja na 
maoni kuhusu utoaji wa takwimu rasmi nchini.
Muda ni kuanzia saa 3.00 Asubuhi hadi saa 9.00 Alasiri katika ukumbi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Makao Makuu.
KARIBUNI WOTE
ImetolewanaMkurugenzi Mkuu,
OfisiyaTaifayaTakwimu.
24June, 2016
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni