KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI-MNH
Mwenyekiti
 wa Baraza la Wafanyakazi la Hospitali ya Taifa Muhimbili   Profesa 
Lawrence Museru  akifungua kikao cha 16 cha Baraza hilo kilichofanyika  
leo Juni 30, 2016  katika ukumbi wa NACTE Mikocheni jijini Dar es 
salaam. Kulia ni Katibu wa Baraza hilo Dk. Kisah Mwambene na kushoto ni 
Katibu Msaidizi Enezer Msuya.
Katibu
 wa TUGHE mkoa Bwana.  Gaudence  Kadyango   akiwasilisha mada kuhusu 
umuhimu wa mikataba ya hali bora za kazi na faida zake.
Bwana.  Andrew Mwalwisi  kutoka Tume ya Usuluhishi  -CMA-   akiwasilisha mada  katika kikao cha Baraza la wafanyakazi  wa MNH .
Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa- MNH -Alex   Samweli  akitoa hoja katika kikao hicho  kilichofayika leo.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni