Waziri wa afya Ummy Mwalimu afungua mkutano wa 12 wa baraza la mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Waziri
 wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jobs is,Wazee na watoto Ummy Mwalimu 
(katikati) akiwa na waziri wa afya toka Uganda(kulia)wakifuatilia mada 
zinazowasilishwa Kenney mkutano huo.
Katibu Mkuu,Wizara ya Afya Tanzania,Dkt.Mpoki Ulisubyisya akiwasilisha mada kwenye mkutano huo.
Baadhi ya mawaziri wa baraza hilo wakiwa Kenney picha ya pamoja.
Mawaziri
 wa  afya za nchi za  Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa kwenye picha ya
 pamoja mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa pamoja wa majadiliano 
kuhusu maendeleo endelevu ya kupunguza kiwango cha juu cha maambukizi ya
 magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza unaofanyika jijini 
Arusha.
(Picha zote na Wizara ya Afya)
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni