MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA KILELE CHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Afisa
 Malalamiko wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. James Katubuka (kulia) 
akihudumia mteja katika Siku ya kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya 
Utumishi wa Umma 2016 iliyofanyika Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi
 wa Umma leo.
Mhasibu
 Mkuu wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.Victor Gideon (kulia) akihudumia 
mteja katika Siku ya Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 
iliyofanyika Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma leo.
Wateja
 wakihudumiwa katika Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na 
Utawala Bora ikiwa ni Siku ya kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi
 wa Umma 2016.
Picha na mpiga picha wetu
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni