MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA KILELE CHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Afisa
Malalamiko wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. James Katubuka (kulia)
akihudumia mteja katika Siku ya kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya
Utumishi wa Umma 2016 iliyofanyika Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi
wa Umma leo.
Mhasibu
Mkuu wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.Victor Gideon (kulia) akihudumia
mteja katika Siku ya Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
iliyofanyika Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma leo.
Wateja
wakihudumiwa katika Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora ikiwa ni Siku ya kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi
wa Umma 2016.
Picha na mpiga picha wetu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni