MIAKA 10 YA UMOJA SWITCH WAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM
Afisa Mtendaji Mkuu wa Umoja Switch Bw Danford Mbilinyi Akizungumza na Vyombo vya Habari leo wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 10 ya UMOJASWITCH.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Umoja Switch Bw Danford Mbilinyi Amezindua Amezindua Rasmi Maadhimisho ya Miaka 10 ya Umojaswitch..Katika Hotuba yake aliyoitoa kwa Vyombo vya Habari Amesema Miaka 10 iliyopita Benki ndogo zilikuwana Changamoto Kubwa ya kuweza Kupatia Huduma za ATM wateja wao kwani Mitaji na Gharama za uwekezaji,Uendeshaji wa ATM na Wigo wao wa utoaji wa Huduma hii Uliwapa Changamoto kubwa.Kutokana na ChangamotoHizo Mabenki Sita Yaliamua Kuanzisha Umoja wao ili Yaweze Kuweka ATM na Kuwezesha Benkihizo Kushirikiana katika Utoaji wa Huduma a ATMKWA Wateja wao,Umoja huo Ndio uliozaa UMOJASWITCH.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Umoja Switch Bw Danford Mbilinyi Amezindua Amezindua Rasmi Maadhimisho ya Miaka 10 ya Umojaswitch..Katika Hotuba yake aliyoitoa kwa Vyombo vya Habari Amesema Miaka 10 iliyopita Benki ndogo zilikuwana Changamoto Kubwa ya kuweza Kupatia Huduma za ATM wateja wao kwani Mitaji na Gharama za uwekezaji,Uendeshaji wa ATM na Wigo wao wa utoaji wa Huduma hii Uliwapa Changamoto kubwa.Kutokana na ChangamotoHizo Mabenki Sita Yaliamua Kuanzisha Umoja wao ili Yaweze Kuweka ATM na Kuwezesha Benkihizo Kushirikiana katika Utoaji wa Huduma a ATMKWA Wateja wao,Umoja huo Ndio uliozaa UMOJASWITCH.
Akielezea
Zaidi Bw Danford Mbilinyi Amesema kwa Sasa Umoja Switch Ina Jumla ya
Mabenki 27 Yanayoshirikana katika Utoaji wa Huduma za Kibenki Kupitia
ATMzaidi ya 250 Nchi nzima.Kupitia Umojaswitch Mteja wa Benki Yenye
Tawi Moja Inamwezesha Mteja wake Kupata Huduma Sehemu Yoyote Tanzania.
Mafanikio
ya Umojaswitch ni Mafanikio ya Ushirikiano na Mabenki Pamoja na
Mzingira Wezeshi yaliowekwa na Serikali Kuptia Benki Kuu.Wakti Umoja
Huo Ulioanzishwa na Kuanza kutoa Huduma zake Jumla ya Benki sita tu ndio
walikuwa wanachama wa Umoja Swich Pamoja na ATM 27 tu.Tofauti na Ssas
umoja huo una Wanachama 27 unaotoa Huduma kwa zaidi ya wateja Milionoi 2
kupitia Zaidi ya ATM 250.Mafanikio ya Umoja Huo yanachangiwa na Ubunifu
na Huduma zitolewazo na Umojaswitch kama Kuhamisha Fedha Kutoka Benki
moja kwenda Nyingine zilizopo ndani ya Umoja huo Kupitia ATM Pamoja na
Huduma za Kununua Luku Mpesa pamoja na Kulipia Huduma Mbalimbali Kupitia
Hudama za Mobile Banking na zile za Uwakala.
Katika
Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 10 ya Umojaswitch ni Kutoa Elimu kwa
Wananchi Kuhusu Umuhimu wa Mtandao huu na Technolojia kwa Ujumla Katika
Kukuza na Kuendeleza Sekta ya Kibenki na Mchango wake katika maendeleoa
ya Maisha ya Kila siku, Pia katika Maadhimisho haya Wanategemea
Kufanya Shuguli Mbalimbali ikiwemo kuchagiza Matumizi ya Technolojia
na Ubunifu Kwenye Vyuo vikuu hapa Nchini kwajili ya kuwa Kichocheo
muhimu Katika Maendeleo ya Sekta ya Kibenki
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni